Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 8,285
- 8,501
Mtafutie kazi ya kumpa ubize, kichwa kipo idle mkuu, yaani firiiiiMke wangu kila dakika ananiambia ananipenda mpaka nakasirika.
Wataalamu kuna haja gani ya kila mara kumwambia mtu haya maneno. Mbaya zaidi ananilazimisha na mimi kila mara nimwambie maneno haya haya!
Aisee sijawai kuwa kwenye mapenzi yenye usumbufu kama haya.
Hata pengine ni kutaka akukipu bize uamini maneno yake wakati ana mochepuko
Hebu fuatililia kujua km hana mochepuko