Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 18,757
- 29,316
Wanadam hivi Mungu awape nini? Ukipendwa shida usipo pendwa napo shidaMke wangu kila dakika ananiambia ananipenda mpaka nakasirika.
Wataalamu kuna haja gani ya kila mara kumwambia mtu haya maneno. Mbaya zaidi ananilazimisha na mimi kila mara nimwambie maneno haya haya!
Aisee sijawai kuwa kwenye mapenzi yenye usumbufu kama haya.