Najutia sana jambo hili

Namshukuru Mungu kwa kuendelea kunikirimia pumzi ya uhai na afya njema. Nina miaka 37 lakini jambo linalo nikosesha amani kila wakati ni watoto wangu watatu. Kila mmoja ana mama yake. Jamii yangu wakati mwingine hunichukulia kama mhuni hivi. Jambo hili huwa linaniumiza sana. Nafikiria issue ya kuoa haina maana tena. Wenzangu wenye hali kama hii mnaweza ku-handle mazingira kama hayo kwenye jamii zenu?
Duh kwa hiyo wee ulikuwa unaweka tuu imoooo🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom