Najuta sana

Najuta sana

Ngoja nijazie jazie kumbe yule mzee alikua ni mzee wa kizenji bwana na ule ulikua ni mtego ila jamaa atolewe masega na mwisho wa siku mzee alipanga njama na akafanikiwa kumtoa jamaa masega hivi mpaka dakika hii tunakwenda mitamboni ndugu yetu hana masega na amejiunga rasmi na kikundi haramu cha kataa ndoa akiwa kama mweka hazina wao
Uwongo kaka..
 
Sijui kitachotokea, ila story yako imenikumbusha Tanga mitaa ya chuda nilipataga hifadhi kwa workmate wakati nimeenda kuanza kazi baada ya chuo. Ni zile nyumba za siku nyingi, kuna mdingi wa makamo ila mswahili alikuwa ndo mwenye nyumba nae anaishi chumba kimoja na mke wake ni bonge la kisu mwarabu shombeshombe hivi.

Sasa mimi nilikuaga namtamani sana, na alikuaga ni dem anaependa story. Siku moja tumetoka job Jumamosi mida ya sa nane tukakutana na father house akasema anasafiri atarudi baada ya kama siku 3. Nikamwambia jamaa yangu kumbe huyu mzee huwa anasafiri anamuacha manzi? Hapo akili ya kujilia usiku usiku ikaja. Jamaa yangu akanambia najua akili yako, ila usithubutu maana huo ni mtego hata mimi alinifanyia sana pindi nimehamia na hadi leo anafanyaga mara mojamoja.

Nikamuuliza anafanyaje? Akasema ngoja utaona. Basi siku hiyo tukatoka jioni tukaenda bar moja inaitwa Nyinda ipo mitaa ya juu tu na home, jamaa yangu akanambia subiri hadi mida ya saa sita hivi ndo turudi home. Kule geto tuliacha taa inawaka huku tumefungulia mziki. Kweli mida ya saa sita tukarudi, jamaa akanambia tutege sehemu kwenye giza tusionekane.

Basi kweli tukaona mtu anaenda dirishani halafu kama anaskilizia then anatoka anaenda nyuma ya nyumba, baada ya kama dak 15 anarudi tena. Mimi akilini nikahisi mwizi, ndo jamaa akanambia yule ni faza hausi. Ndo mambo yake hayo analinda mali kujua kama kuna anaemgongea mke wake. Basi tukaenda ile tunatokeza hivi tunakutana nae akaanza kuzuga eti karudi muda ule toka safari alienda na kugeuza. Hapohapo akamgongea mke wake nae akazama ndani. Nilimdharau yule mzee balaa kwa ule utoto alokuwa anafanya 🤣😂😂
 
Sijui kitachotokea,ila story yako imenikumbusha Tanga mitaa ya chuda nilipataga hifadhi kwa workmate wakati nimeenda kuanza kazi baada ya chuo. Ni zile nyumba za siku nyingi,kuna mdingi wa makamo ila mswahili alikua ndo mwenye nyumba nae anaishi chumba kimoja na mke wake ni bonge la kisu mwarabu shombeshombe hivi. Sasa mimi nilikuaga namtamani sana, na alikuaga ni dem anaependa story. Siku moja tumetoka job jumamosi mida ya sa nane tukakutana na father house akasema anasafiri atarudi baada ya kama siku 3. Nikamwambia jamaa yangu kumbe huyu mzee huwa anasafiri anamuacha manzi? Hapo akili ya kujilia usikuusiku ikaja. Jamaa yangu akanambia najua akili yako,ila usithubutu maana huo ni mtego hata mimi alinifanyia sana pindi nimehamia na hadi leo anafanyaga mara mojamoja. Nikamuuliza anafanyaje? Akasema ngoja utaona. Basi siku hiyo tukatoka jioni tukaenda bar moja inaitwa nyinda ipo mitaa ya juu tu na home,jamaa yangu akanambia subiri hadi mida ya saa sita hivi ndo turudi home. Kule geto tuliacha taa inawaka huku tumefungulia mziki. Kweli mida ya saa sita tukarudi,jamaa akanambia tutege sehem kwenye giza tusionekane. Basi kweli tukaona mtu anaenda dirishani afu kama anaskilizia then anatoka anaenda nyuma ya nyumba,baada ya kama dak 15 anarudi tena. Mimi akilini nikahisi mwizi, ndo jamaa akanambia yule ni faza hausi. Ndo mambo yake hayo analinda mali kujua kama kuna anaemgongea mke wake. Basi tukaenda ile tunatokeza hivi tunakutana nae akaanza kuzuga eti karudi mda ule toka safari alienda na kugeuza. Hapohapo akamgongea mke wake nae akazama ndani. Nilimdharau yule mzee balaa kwa ule utoto alokua anafanya 🤣😂😂
Mahangaiko yote hayo na nini nae huyo mzee😂😂
 
Sijui kitachotokea,ila story yako imenikumbusha Tanga mitaa ya chuda nilipataga hifadhi kwa workmate wakati nimeenda kuanza kazi baada ya chuo. Ni zile nyumba za siku nyingi,kuna mdingi wa makamo ila mswahili alikua ndo mwenye nyumba nae anaishi chumba kimoja na mke wake ni bonge la kisu mwarabu shombeshombe hivi. Sasa mimi nilikuaga namtamani sana, na alikuaga ni dem anaependa story. Siku moja tumetoka job jumamosi mida ya sa nane tukakutana na father house akasema anasafiri atarudi baada ya kama siku 3. Nikamwambia jamaa yangu kumbe huyu mzee huwa anasafiri anamuacha manzi? Hapo akili ya kujilia usikuusiku ikaja. Jamaa yangu akanambia najua akili yako,ila usithubutu maana huo ni mtego hata mimi alinifanyia sana pindi nimehamia na hadi leo anafanyaga mara mojamoja. Nikamuuliza anafanyaje? Akasema ngoja utaona. Basi siku hiyo tukatoka jioni tukaenda bar moja inaitwa nyinda ipo mitaa ya juu tu na home,jamaa yangu akanambia subiri hadi mida ya saa sita hivi ndo turudi home. Kule geto tuliacha taa inawaka huku tumefungulia mziki. Kweli mida ya saa sita tukarudi,jamaa akanambia tutege sehem kwenye giza tusionekane. Basi kweli tukaona mtu anaenda dirishani afu kama anaskilizia then anatoka anaenda nyuma ya nyumba,baada ya kama dak 15 anarudi tena. Mimi akilini nikahisi mwizi, ndo jamaa akanambia yule ni faza hausi. Ndo mambo yake hayo analinda mali kujua kama kuna anaemgongea mke wake. Basi tukaenda ile tunatokeza hivi tunakutana nae akaanza kuzuga eti karudi mda ule toka safari alienda na kugeuza. Hapohapo akamgongea mke wake nae akazama ndani. Nilimdharau yule mzee balaa kwa ule utoto alokua anafanya

wazee wengine kama watoto sasa si angeish nyumba ya peke yake na mkewe
 
Tena wahuni wakishajua michezo yake wanamvizia tu kwisha kazi
Mtu mzima alindwi/achungwi, ni kosa kubwa sana. Kuna dada mmoja mmewe ni mkali anamlinda lakini asubuhi huyo dada anaamka mapema kufanya mazoezi(jogging) anapita kwa mwamba anapata dozi mapema alafu anarejea home kama katoka mazoezi. Huu mchezo kaufanya mpaka jamaa yangu alipoanza kuishi na KE wake ndio ukakoma.
Yaani naangalia nione japo anatype olaaa na nina usingizi balaa
Nawa uso na maji baridi 😂
 
Mtu mzima alindwi/achungwi, ni kosa kubwa sana. Kuna dada mmoja mmewe ni mkali anamlinda lakini asubuhi huyo dada anaamka mapema kufanya mazoezi(jogging) anapita kwa mwamba anapata dozi mapema alafu anarejea home kama katoka mazoezi.

Nawa uso na maji baridi 😂
Kudadeki, af mtu ukimchunga sana ndio anakukomoa.

Hahaa nitaikuta asubuhi na mapema
 
Sijui kitachotokea,ila story yako imenikumbusha Tanga mitaa ya chuda nilipataga hifadhi kwa workmate wakati nimeenda kuanza kazi baada ya chuo. Ni zile nyumba za siku nyingi,kuna mdingi wa makamo ila mswahili alikua ndo mwenye nyumba nae anaishi chumba kimoja na mke wake ni bonge la kisu mwarabu shombeshombe hivi. Sasa mimi nilikuaga namtamani sana, na alikuaga ni dem anaependa story. Siku moja tumetoka job jumamosi mida ya sa nane tukakutana na father house akasema anasafiri atarudi baada ya kama siku 3. Nikamwambia jamaa yangu kumbe huyu mzee huwa anasafiri anamuacha manzi? Hapo akili ya kujilia usikuusiku ikaja. Jamaa yangu akanambia najua akili yako,ila usithubutu maana huo ni mtego hata mimi alinifanyia sana pindi nimehamia na hadi leo anafanyaga mara mojamoja. Nikamuuliza anafanyaje? Akasema ngoja utaona. Basi siku hiyo tukatoka jioni tukaenda bar moja inaitwa nyinda ipo mitaa ya juu tu na home,jamaa yangu akanambia subiri hadi mida ya saa sita hivi ndo turudi home. Kule geto tuliacha taa inawaka huku tumefungulia mziki. Kweli mida ya saa sita tukarudi,jamaa akanambia tutege sehem kwenye giza tusionekane. Basi kweli tukaona mtu anaenda dirishani afu kama anaskilizia then anatoka anaenda nyuma ya nyumba,baada ya kama dak 15 anarudi tena. Mimi akilini nikahisi mwizi, ndo jamaa akanambia yule ni faza hausi. Ndo mambo yake hayo analinda mali kujua kama kuna anaemgongea mke wake. Basi tukaenda ile tunatokeza hivi tunakutana nae akaanza kuzuga eti karudi mda ule toka safari alienda na kugeuza. Hapohapo akamgongea mke wake nae akazama ndani. Nilimdharau yule mzee balaa kwa ule utoto alokua anafanya 🤣😂😂
Dawa yake unakaa na maji ya moto chumbani ukishajua yupo dirishani tu unamwagia yabl uso fasta.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom