Najuta ! Nalia ! Kwanini shetani nilimpa nafasi

Najuta ! Nalia ! Kwanini shetani nilimpa nafasi

Najuta kwanini nilimpa nafsi shetani nikaachana na kipenzi changu .sasa hivi kila demu nitakaye mpata Majanga .hata yure wa kipindi kire nilipo kuwa homu kwa mzee kitaa ambaye naye niliachanae nikamtafuta akaniereewa. Duuh sasa naye kawa muhuni ! mnyoa viduku ! mvaa nguo fupi !mcheza shoo ! anakunywa bia ! Najuata nalia kwanini niliachana na wangu kipenzi alinivumilia sana lakini mie sikuherewa.
usiache mbachao kwa msara upitao
 
Mwnzio arikupa nafas ya kudumu ndan ya moyo wke we ukaichezea.. hasala yko iyo..
 
teh teh teh teh teh kila unapogusa unakura za uso tu
radhi si mpka itoke kwa wazazi hata mpenzi akakupenda akakuvumilia akakusubilia akawaacha watu wa kweri waliotaka kumuoa kwa ajiri yako
araf wewe unakuja kumuacha kirahisi rahisi tu kwa maneno machache ya kishujaa bila kujali ataumia kiasi gan
araf utamu unanoga ukute ameshaolewa na yeye ana ana wtoto wazuri wewe una hata wa kusingiziwa

wacha radhi ya mpenzi ikutafune
1f39c68d9fe1503fc64d68713a47565f.jpg
Also, and vice versa.
 
Dah!kwa mwandiko huu mmmh!! taja kabila lako kwanza na kama sio dogo wa kikurya nidai bundle la chuo kuanzia mida hii hadi utakapohitimu Doctrate!!
 
Itakua umetafuta papuchi ukaikosa so ukakumbuka ya zamani
 
Back
Top Bottom