Najuta ! Nalia ! Kwanini shetani nilimpa nafasi

Najuta ! Nalia ! Kwanini shetani nilimpa nafasi

Najuta kwanini nilimpa nafsi shetani nikaachana na kipenzi changu .sasa hivi kila demu nitakaye mpata Majanga .hata yure wa kipindi kire nilipo kuwa homu kwa mzee kitaa ambaye naye niliachanae nikamtafuta akaniereewa. Duuh sasa naye kawa muhuni ! mnyoa viduku ! mvaa nguo fupi !mcheza shoo ! anakunywa bia ! Najuata nalia kwanini niliachana na wangu kipenzi alinivumilia sana lakini mie sikuherewa.
mkuu naweza kujua shule uliosoma,,???
 
Acha kumsingia shetani jamani .. Sema nyege zako zimekuponza ukaacha acha .. Sasa ni mda wa malipo
 
Back
Top Bottom