aah bhana kashasema hajui vizuri kiswahili bhana usimuonee..bhannaaaHivi ni shule gani inafundisha wanafunzi kutumia 'R' mbadala wa 'L'
KWA KISWAHILI HICHO LAZMA WAKUKIMBIE,JIFUNZE KWANZA LUGHA KWAKUWA NDIO NYENZO YA MAWASILIANO.Najuta kwanini nilimpa nafsi shetani nikaachana na kipenzi changu .sasa hivi kila demu nitakaye mpata Majanga .hata yure wa kipindi kire nilipo kuwa homu kwa mzee kitaa ambaye naye niliachanae nikamtafuta akaniereewa. Duuh sasa naye kawa muhuni ! mnyoa viduku ! mvaa nguo fupi !mcheza shoo ! anakunywa bia ! Najuata nalia kwanini niliachana na wangu kipenzi alinivumilia sana lakini mie sikuherewa. !wadau nimeamuwa ni hii ya update hii thread yangu wadau kiswahili sijui kuandika vizuri naomba msinihukumu!
Haa utaherewa taratibu tu.. we turia tu kwa sasa
Kwani we mwenzetu kabila gani?Najuta kwanini nilimpa nafsi shetani nikaachana na kipenzi changu .sasa hivi kila demu nitakaye mpata Majanga .hata yure wa kipindi kire nilipo kuwa homu kwa mzee kitaa ambaye naye niliachanae nikamtafuta akaniereewa. Duuh sasa naye kawa muhuni ! mnyoa viduku ! mvaa nguo fupi !mcheza shoo ! anakunywa bia ! Najuata nalia kwanini niliachana na wangu kipenzi alinivumilia sana lakini mie sikuherewa. !wadau nimeamuwa ni hii ya update hii thread yangu wadau kiswahili sijui kuandika vizuri naomba msinihukumu!
Pore sana, sasa itabidi umtafute huyo Shetani iri apokee rawama zake mana hakuna namna nyingine ror [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji40] [emoji40]Najuta kwanini nilimpa nafsi shetani nikaachana na kipenzi changu .sasa hivi kila demu nitakaye mpata Majanga .hata yure wa kipindi kire nilipo kuwa homu kwa mzee kitaa ambaye naye niliachanae nikamtafuta akaniereewa. Duuh sasa naye kawa muhuni ! mnyoa viduku ! mvaa nguo fupi !mcheza shoo ! anakunywa bia ! Najuata nalia kwanini niliachana na wangu kipenzi alinivumilia sana lakini mie sikuherewa. !wadau nimeamuwa ni hii ya update hii thread yangu wadau kiswahili sijui kuandika vizuri naomba msinihukumu!
pole sana, thamani ya kitu hujulikana pale unapokipoteza
Haa utaherewa taratibu tu.. we turia tu kwa sasa
teh teh teh teh teh kila unapogusa unakura za uso tu
radhi si mpka itoke kwa wazazi hata mpenzi akakupenda akakuvumilia akakusubilia akawaacha watu wa kweri waliotaka kumuoa kwa ajiri yako
araf wewe unakuja kumuacha kirahisi rahisi tu kwa maneno machache ya kishujaa bila kujali ataumia kiasi gan
araf utamu unanoga ukute ameshaolewa na yeye ana ana wtoto wazuri wewe una hata wa kusingiziwa
wacha radhi ya mpenzi ikutafune
![]()
Najuta kwanini nilimpa nafsi shetani nikaachana na kipenzi changu .sasa hivi kila demu nitakaye mpata Majanga .hata yure wa kipindi kire nilipo kuwa homu kwa mzee kitaa ambaye naye niliachanae nikamtafuta akaniereewa. Duuh sasa naye kawa muhuni ! mnyoa viduku ! mvaa nguo fupi !mcheza shoo ! anakunywa bia ! Najuata nalia kwanini niliachana na wangu kipenzi alinivumilia sana lakini mie sikuherewa. !wadau nimeamuwa ni hii ya update hii thread yangu wadau kiswahili sijui kuandika vizuri naomba msinihukumu!
Hihihihih nilitaka kujiuliza iweje watu wamuache hivi hivi hahahahHivi ni shule gani inafundisha wanafunzi kutumia 'R' mbadala wa 'L'
Hihihihih mbavu zangu jamaniwewe kira kitu kibaya kwa nini unamraumu shetani sasa? rabda umtafute yure wa zamani umuombe msamaha