hahah halafu na huyo dada aje apa analia na kujuta kuolewa na mwanaume mwenye watoto.lol (just saying):becky:Pole na Hongera sana mkuu kwa uamuzi huo uliochukua,tulia na huyo mke wako mpya ikiwa hana mume mfanye maisha!!!
Kwa waumini wa kanisa katoliki tunasema hapakuwa na ndoa tangia mwanzo, hiyo ndoa ni batili.!!
Bora uoe malaya ambae hajazaa, kuliko kuoa malaika alizaa na mwanaume mwingine
Kwa waumini wa kanisa katoliki tunasema hapakuwa na ndoa tangia mwanzo, hiyo ndoa ni batili.!!