CosaNostra
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 382
- 139
Umenikumbusha msemo kuwa Kipya Kinyemi, kulipa ada isiwe sababu ya kumwacha, kama una lingine lililodhihi na huyo ex- wake, leta hoja.
teh teh teh katika kanisa katoliki huwa kuna sakramenti ya matrimoni. Hii ni sakramenti ya ndoa, inayojumuisha jinsia mbili tofauti kama utambulisho wa ndoa halali. Kanisa huwa linaamini kuna makubaliano ya watu wawili (wanandoa watarajiwa) kabla ya kufanga ndoa. Sasa kama mmoja kati yao alidanganya ili ndoa ifungwe na mwenzi amegundua baada ya kufunga ndoa kama alidanganywa, ana haki ya kuvunja ndoa.
Hii Ni Kawaida kwa watu waliowahi kuwa pamoja na kupata mtoto,yule mtoto ndio kiunganishi hapo,pole sana mkuu ila unatakiwa kufahamu kuwa mapenzi yao lazima yaendelee ,,,,,mpaka baba akifa .Kwa swala lako uamuzi ni wako kwa kuwa ulijua haya yote ukafumba macho kwa kigezo cha penzi lililokomaa kwa bibi wa kiarabu.
Waheshimiwa habari za mida,
Nimedhamiria kumuacha wife mazima nimeshachoka, Wakuu nipo njia panda, ushauri tafadhali
MPE taraka yake,sipendi kabisa mwanamke mwenye mtoto,kuna mdada mmoja anamtoto wa miaka minne,alilazimisha nimuoe nikasema NOOOOO,tukaachana
Sasa waolewe na nani?Ni kosa ambalo sitakuja fanya.
Kuoa mwenye mtoto hapana aiseee maana mbeleni ni matatizo
Hawapaswi kuolewa tena mkuu, ukizaa bila kuolewa au ukiachika ndo basi tena, ila kama una huruma sana oa tu!Sasa waolewe na nani?
Mmh laiti Mungu angelikuwa ni mwanadamu.......Hawapaswi kuolewa tena mkuu, ukizaa bila kuolewa au ukiachika ndo basi tena, ila kama una huruma sana oa tu!
Hapo sasaMmh laiti Mungu angelikuwa ni mwanadamu.......
Kwa kweli nashukuru tu kuwa Mungu si mwanadamu, na wote tunaishi kwa neema yake tu. Bila hivyo mmmmh....Hapo sasa