Rwankomezi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 3,194
- 2,463
Kaeni muelewane kuhusu kuwalea hao watoto. Kama baba wa mtoto ana uwezo kaza msimamo asomeshe damu yake na kama uwezo wake ni mdogo msaidie kumsomeshea huyo mtoto mungu atakulipa mbele ya safari. Duniani tunapita tyuu brother huwez jua huyo mtoto baadae pia anaweza kuwasaidia watoto wako wa damu.
Wewe sasa unamshauri vibaya mwenzio,mpaka muda huu bado una-imani eti huyo mtoto atakuja msahdia ex-father in next life,unawajua waarabu ama unawasikia?,viumbe hawa ni watu wa ajabu sana wakikuona wewe ngozi nyeusi ata uoe ukoo wao wote kama mweusi kwao ni choko-tu.
Na huyo mtoto wa mwarabu na chotara wake kama wa kiume na wale wa mdengereko wa kike anaweza wafumua marinda wootee.Hivyo maisha ya tenda wema na kuishi kwa kutegemea ahadi kama za kikwete tupa kule.Ndomana 50cent anasema get rich or die tryn kivyako kwa ajili ya familia yako.Mwanamke huyo jamaa apige chini, hapo amejiletea bomu na litamfumukia haspolitoa ndani kwake fasta.