Najuta kuoa mwanamke mwenye mtoto

Mimi nakupa ushauri wa kiroho ( Katika perspective ya African Spirituality ). Katika ulimwengu usio onekana, ukimuoa mwnamke ambaye tayari ana mtoto maana yake ni kwamba, una uhusiano wa kiroho na huyo mtoto. Wewe na huyo mtoto wa huyo mwanamke mliwahi kuwa na uhusiano wa damu, katika maisha yenu yaliyopita (Previous life ). Uhusiano huo wa kiroho unaweza kuwa wa heri au shari. Wa heri kwa maana ya kwamba, amekuja kulipa fadhila ulizo mfanyia katika maisha yenu yaliyo pita, na wa shari kwa maana amekuja kulipa kisasi kwa mambo mabaya uliyo mfanyia katika maisha yenu yaliyo pita. So kuwa na mwanamke ambaye tayari ana mtoto sio tatizo sana, kama unaamini katika hicho nilicho kiandika. BUT IF U DONT BLV ON THAT! MTAANI HUKO WANASEMAGA " unajifanya unajua sana kulea watoto wasio kuhusu". But all in all. Kuoa mwanamke mwenye watoto tayari kuna changamoto sana. Mtaani kwetu kuna jamaa mmoja alikuwa na watoto wawili, baadaye akaoa mwanamke ambaye na yeye alikuwa na watoto wawili. Kwa pamoja wakazaa watoto w engine watatu. Siku moja mume akakuta watoto wao wa nje ( wale wanne ) wanawapiga watoto wao wale watatu. Basi jamaa akampigia simu mke wake akimwambia " MY WIFE COME HOME EARLY, BECAUSE MY CHILDREN AND YOUR CHILDREN ARE BEATING OUR CHILDREN "

Wee jamaa hii philosophy yako balaa... Kama nmeelewa hivi na hapo hapo sijaelewa vizuri.

All in all that african belief imenitisha kiasi flani, kna madudu tunafanya kwa uwoga na utoto mfano aborts na mbeleni tunajuta tunaona tulee watoto waliotelekezwa kama njia ya kuondoa dhana ya ushetani wetu nafsini na kuomba radhi roho tulizozikatili. Je mtt unaejitolea kulea anakuwa connected in a gud way au lah...!?
 
Sidhan kama unalowaza kufanya ni sahihi,kwann msingekaa kikao pande zote tatu mkaongelea hyo inshu???hivi unadhan huyo unayesema umempata utakapomuona ataendelea na upendo alio nao sasa hvi???tayari ww una watoto ulozaa na mke wako wa ndoa,ukimuacha akiamua kukuletea hao watoto wako,je mke mpya atawalea kwa upendo???usikimbilie tu kusema ooooh ananipenda cjui imeenda imeshuka angalia upande wa pili wa shilingi ,kingine umefunga ndoa ya kanisani kwa sisi wakristo n hadi kifo kiwatenganishe ama basi umkatamate kwa habari ya uzinzi na ushahid uwepo,huyo utakayemuoa atakubali aishi na ww bila ndoa ??????????
 
Paulsen.paulsen sidhani kama issue ya ada ya shule ni tatizo unalohitaji ushauri. iko wazi, mtoto ana baba yake ambae yuko hai, asomeshe mwanae na pia kumbuka haikua makubaliano yenu toka mwanzo kua huyu mtoto ataishi kwenu. kwa kuzubaa kwako, ukaletewa mtoto na ukakaa kimya maana mke alishakusoma kua huna ubavu wa kumkataa. ikiwa baba ana uwezo wa kwenda na mzazi mwenzio shuleni ni mazawadi kibao bila ufahamu wako, hata ada anaweza kulipia. huyo ni baba, ni kichwa cha familia kama wangeoana. ada ya shule ya huyo mtoto wewe haikuhusu na si jukumu lako maana sio yatima, ana wazazi wake wote wawili. kama una huruma na upendo kwa mkeo unaweza kusaidia, likini si jukumu lako na hakuna anayepaswa kukushurutisha. mdogo wangu ameoa mke mke mwenye mtoto, lakini hamsomeshi huyo mtoto. kijana anasomeshwa na mama yake maana nae ana kazi na kipato. Tena huyo baba yake alifariki, lakini mdogo wangu ana misimamo yake ambayo mtu hawezi kumlazimisha wala kumburuta.
Unaweza kunisaidia mawazo kuhusu tatizo sugu la ada ya mtoto maana ndilo tatizo lililonileta hapa kuomba ushauri
Hilo la uzinzi lina ngazi ya familia na wazee walishahusika nalo
Kama ingekua ni uzinzi pekee nisingekuja hapa lina mahala pake

Hili LA mtoto ndio limeondoa amani ya nyumba na limeshindikana kwenye ngazi zote
Watu wengi wananipa ushauri kwa jambo ambalo sijaomba ushauri (uzinzi) na ambalo Nina suluhisho tayari
Wanaacha kichwa cha somo husika ambacho ndio kimebeba dhana nzima ya somo hili
 
Huyu jamaa awali alidata na uzuri wa mke wake kwahiyo hakuwa tayari kuambiwa au kusikiliza lolote linalomuondoa kwenye mpango wake.

Inaonekana pia huyu jamaa hakuwa na nia ya kuchunguza sabab za mkewe na jamaa kuachana na walikuwa na mahusiano ya vipi.

'Background Search' ni muhimu, kwa mfano wazazi wa huyo mwanamke walishaachana, sabab ya wao kuachana, kwa sabab anaweza kuwa alisababisha mama mkwe, na kwahiyo mkeo aliishi na mama yake mda gani wakiwa wenyewe bila baba?, na maisha yao yalikuwa ya namna gani?. Kwa sabab kuna tabia mbaya ambazo mwanamke anachukua kwa mama kwa sababu ndo anaemsikiliza na baba hayupo na zikaathiri mawazo na fikra zake. Kwa mfano hawez kuonana umuhim kusuluhisha mambo na wewe na kuona ni bora asepe, kwani ndoa ni nini hata mama alishaachika
 
huyo mwarabu aliezaa na mkeo jua na yeye ana mke wake, ila kashindwa kuoa mke wa pili. sasa jua kwamba huyo dada alitafuta pa kuangukia tu baada kushindwa kuolewa mke wa pili.kwa bahati nzuri kaangukia kwako.
sasa kaa ukijua huyo mkeo ni kimada wa mwarabu miaka 800.
kazi kwako kuamua kama utaishi na mke wako ila ni kimada wa mwarabu au uwaachie we utafute mwengine,
 
huyo mwarabu aliezaa na mkeo jua na yeye ana mke wake, ila kashindwa kuoa mke wa pili. sasa jua kwamba huyo dada alitafuta pa kuangukia tu baada kushindwa kuolewa mke wa pili.kwa bahati nzuri kaangukia kwako.
sasa kaa ukijua huyo mkeo ni kimada wa mwarabu miaka 800.
kazi kwako kuamua kama utaishi na mke wako ila ni kimada wa mwarabu au uwaachie we utafute mwengine,

Aisee !! Hushan mbona hii habari umeiongelea kana kwamba una 100% kuwa ndivyo hivyo?
 
Last edited by a moderator:
Bonge la changamoto,shikilia msimamo wako wa kutomlipia mtoto,Hilo Ni jukumu la baba mtoto,Hawa watu bado wapo katika mahusiano usidanganyike,lakini hapo ulipoamua kutoka na jirani yako umekosea..
 
kukaa na mtoto wa kambo huwezi nawe ni mtu mzima wanao wataweza kukaa na mama wa kambo angali wadogo tafakari mzigo ulokushida wanao atauweza we unatoa pesa umeshindwa kabla ya maamuzi yako waande wanao kisaikolojia
 
Umemzungusha sana, kafanywa 'mume bwe.ge'

Hahaha na hapo ndiyo mawifi mnaonekanaga wakorofi, unakuwa na braza boya kama huyu anapelekwa pelekwa akifumbuliwa macho haelewi.

Tabu tupu, akiambiwa hao bado wapenzi ndiyo maana baba mzazi ataki kulea kashaambiwa nitalibana jinga langu lilipe, kaka haoni hasikii kakomaa tu kuzini sio tatizo tatizo ada.
 
Tulia kaa chini tafakari vizuri ikiwezekana wahusishe watu wazima ili upate ushauri wa busara zaidi kuhusu ndoa yako asikuambie mtu hakuna ndoa isiyo na kasoro au raha tupu kuna na maudhi pia tunavumiliana tu kwa vile hakuna mkamilifu....

Hao wanakuambia muache wengine hata hao wake hawana na hawajui lolote kuhusu maisha yako na wanakushauri ukitelea tu wote wanakukimbia haya ni maisha yako follow your heart na usikurupuke...

Pole sana kwa matatizo inshaAllah mungu atakua nguvu..

Ukisoma vizuri uzi wake,washakaa kujadili kuhusu hiyo ndoa b4 na yeye hataki kumlipia huyo X-mtoto hada.
Alafu huache dharau jf-kuna kuna watu wazima na wenye na wenye busara kuliko unavyosoma comment zao.Then mbona ata mshua wake keshamwambia kupiga chini huyo chotara mana anacheza-ndondo wakati yuko timu kubwa?.
 
Ndoa ya maisha'! Ila wanawake wengi wa kiarabu wana tabia mbaya sana na kuoa mwanamke mwenye mtoto unakuwa unatafuta balaa USIJALIBU NI SUMU INAUA pole sana.
 
Back
Top Bottom