Najuta kumtongoza mke wa rafiki yangu

Najuta kumtongoza mke wa rafiki yangu

Habari .

Katika harakati zangu, nimejikuta kwa makusudi kabisa natongoza mke wa rafiki yangu ilihali najua wazi kabisa mume wake ni rafiki yangu wa karibu sana na tunaelewana kweli kweli.

Kiukweli huyu dada nilimtongoza kwa makusudi na kwa lengo la kupima msimamo wake kwenye ndoa yake yeye na rafiki yangu upoje, alionyesha kunikataa sana ila nilimlagai kwa kila namna na mwisho wa siku akaamua kunikubalia na tukaweka miadi ya kulana yaani awe ananipa utelezi ndugu zangu na tukakubaliana hivyo na nikaanza rasmi zoezi la kumkula kwa makusudi tuu.

Cha kushangaza sasa ananiganda sana na kila mara analalamika kuhusu mumewe hawezi kumridhisha yani anataka kwangu tuu na nikimuuliza vipi kuhusu rafiki yangu inpa anasema nitakua na mpa akojoe tuu ili alale maana hapendi kusumbuliwa nae tena, na anasema kwangu ndio anaridhika sana na anajiona kabisa kapata mwanaume haswa.

Wakuu sasa nimejaribu kila mbinu ya kumpiga chini na kukata nae mazoea lakini amekua kama pepo lisilo sikia kabisa yani ananikwanza kiujumla kawa king'ang'anizi mpaka basi mpaka naona hapa sasa anataka kuniharibia uhai wangu kwa kweli.

Moyo unanihukumu sana niwapo na rafiki yangu na ajui kama shemeji na mkaza , japo anaonekana ni mtu wa kuniamini sana aisee.,

Wazee nifanyaje kuepuka hii laana kuendelea kunitafuna maana inanipa majuto sana ilihali najua huyu ni mke wa rafiki yangu kabisa na nataka niachane nae ila kawa king'ang'anizi hasa mpaka anatishia sasa usalama wangu?
We ni rafiki mnafiki. Over
 
Habari .

Katika harakati zangu, nimejikuta kwa makusudi kabisa natongoza mke wa rafiki yangu ilihali najua wazi kabisa mume wake ni rafiki yangu wa karibu sana na tunaelewana kweli kweli.

Kiukweli huyu dada nilimtongoza kwa makusudi na kwa lengo la kupima msimamo wake kwenye ndoa yake yeye na rafiki yangu upoje, alionyesha kunikataa sana ila nilimlagai kwa kila namna na mwisho wa siku akaamua kunikubalia na tukaweka miadi ya kulana yaani awe ananipa utelezi ndugu zangu na tukakubaliana hivyo na nikaanza rasmi zoezi la kumkula kwa makusudi tuu.

Cha kushangaza sasa ananiganda sana na kila mara analalamika kuhusu mumewe hawezi kumridhisha yani anataka kwangu tuu na nikimuuliza vipi kuhusu rafiki yangu inpa anasema nitakua na mpa akojoe tuu ili alale maana hapendi kusumbuliwa nae tena, na anasema kwangu ndio anaridhika sana na anajiona kabisa kapata mwanaume haswa.

Wakuu sasa nimejaribu kila mbinu ya kumpiga chini na kukata nae mazoea lakini amekua kama pepo lisilo sikia kabisa yani ananikwanza kiujumla kawa king'ang'anizi mpaka basi mpaka naona hapa sasa anataka kuniharibia uhai wangu kwa kweli.

Moyo unanihukumu sana niwapo na rafiki yangu na ajui kama shemeji na mkaza , japo anaonekana ni mtu wa kuniamini sana aisee.,

Wazee nifanyaje kuepuka hii laana kuendelea kunitafuna maana inanipa majuto sana ilihali najua huyu ni mke wa rafiki yangu kabisa na nataka niachane nae ila kawa king'ang'anizi hasa mpaka anatishia sasa usalama wangu?
we mbwa ni shoga
 
"Katika harakati zangu, nimejikuta kwa makusudi kabisa natongoza mke wa rafiki yangu ilihali najua wazi kabisa mume wake ni rafiki yangu wa karibu sana na tunaelewana kweli kweli."

Na yeye kwa makusudi anakuganda
Vijana wa siku hizi hamna malezi kabisa
Ila sio kosa lenu
 
Cha kushangaza marinda yataridhika tu na show ya rafiki🤐
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom