jjs2017
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 2,023
- 4,213
Habari .
Katika harakati zangu, nimejikuta kwa makusudi kabisa natongoza mke wa rafiki yangu ilihali najua wazi kabisa mume wake ni rafiki yangu wa karibu sana na tunaelewana kweli kweli.
Kiukweli huyu dada nilimtongoza kwa makusudi na kwa lengo la kupima msimamo wake kwenye ndoa yake yeye na rafiki yangu upoje, alionyesha kunikataa sana ila nilimlagai kwa kila namna na mwisho wa siku akaamua kunikubalia na tukaweka miadi ya kulana yaani awe ananipa utelezi ndugu zangu na tukakubaliana hivyo na nikaanza rasmi zoezi la kumkula kwa makusudi tu.
Cha kushangaza sasa ananiganda sana na kila mara analalamika kuhusu mumewe hawezi kumridhisha yaani anataka kwangu tu na nikimuuliza vipi kuhusu rafiki yangu unampa anasema nitakua nampa akojoe tuu ili alale maana hapendi kusumbuliwa nae tena, na anasema kwangu ndio anaridhika sana na anajiona kabisa kapata mwanaume haswa.
Wakuu sasa nimejaribu kila mbinu ya kumpiga chini na kukata nae mazoea lakini amekua kama pepo lisilo sikia kabisa yani ananikwanza kiujumla kawa king'ang'anizi mpaka basi mpaka naona hapa sasa anataka kuniharibia uhai wangu kwa kweli.
Moyo unanihukumu sana niwapo na rafiki yangu na ajui kama shemeji na mkaza , japo anaonekana ni mtu wa kuniamini sana aisee.,
Wazee nifanyaje kuepuka hii laana kuendelea kunitafuna maana inanipa majuto sana ilihali najua huyu ni mke wa rafiki yangu kabisa na nataka niachane nae ila kawa king'ang'anizi hasa mpaka anatishia sasa usalama wangu?
Katika harakati zangu, nimejikuta kwa makusudi kabisa natongoza mke wa rafiki yangu ilihali najua wazi kabisa mume wake ni rafiki yangu wa karibu sana na tunaelewana kweli kweli.
Kiukweli huyu dada nilimtongoza kwa makusudi na kwa lengo la kupima msimamo wake kwenye ndoa yake yeye na rafiki yangu upoje, alionyesha kunikataa sana ila nilimlagai kwa kila namna na mwisho wa siku akaamua kunikubalia na tukaweka miadi ya kulana yaani awe ananipa utelezi ndugu zangu na tukakubaliana hivyo na nikaanza rasmi zoezi la kumkula kwa makusudi tu.
Cha kushangaza sasa ananiganda sana na kila mara analalamika kuhusu mumewe hawezi kumridhisha yaani anataka kwangu tu na nikimuuliza vipi kuhusu rafiki yangu unampa anasema nitakua nampa akojoe tuu ili alale maana hapendi kusumbuliwa nae tena, na anasema kwangu ndio anaridhika sana na anajiona kabisa kapata mwanaume haswa.
Wakuu sasa nimejaribu kila mbinu ya kumpiga chini na kukata nae mazoea lakini amekua kama pepo lisilo sikia kabisa yani ananikwanza kiujumla kawa king'ang'anizi mpaka basi mpaka naona hapa sasa anataka kuniharibia uhai wangu kwa kweli.
Moyo unanihukumu sana niwapo na rafiki yangu na ajui kama shemeji na mkaza , japo anaonekana ni mtu wa kuniamini sana aisee.,
Wazee nifanyaje kuepuka hii laana kuendelea kunitafuna maana inanipa majuto sana ilihali najua huyu ni mke wa rafiki yangu kabisa na nataka niachane nae ila kawa king'ang'anizi hasa mpaka anatishia sasa usalama wangu?