Najuta kuchelewa kuijua ANDROID

Najuta kuchelewa kuijua ANDROID

tindikalikali

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2011
Posts
4,854
Reaction score
1,139
Wakuu mwanzoni nilikuwa mgumu sana kuhama nokia na symbian yao.....
Majuzi nimenunua samsung galaxy ace 2, kila kitu ni burudan..kuanzia application ya jf, camera na speed ya internet
 
Kumbe ulikuwa Duniani wenzio tuko sayari ya
Mars yaani unagusa tu mambo tele.
 
Mkuu...umepotea njia..., rudi nyumbani' usije ukawa mwanampotevu...
 
Wakuu mwanzoni nilikuwa mgumu sana kuhama nokia na symbian yao.....
Majuzi nimenunua samsung galaxy ace 2, kila kitu ni burudan..kuanzia application ya jf, camera na speed ya internet

Mwana kuna kitu cha iPhone kinatumia IOS ni makini haswa mkuu
 
Tatizo hizikai na chaji

Kwa sababu ya full internet inarun vitu vingi ndo maana hata iphone haikai na moto kabisa ila unaweza kuzima 3G inakaa na charge sana uwashe tu pindi utakapotaka kuitumia.
 
Kwa sababu ya full internet inarun vitu vingi ndo maana hata iphone haikai na moto kabisa ila unaweza kuzima 3G inakaa na charge sana uwashe tu pindi utakapotaka kuitumia.
Ndio unazimaje coz kwa kweli hili suala la charge ni balaa_
 
Dah..!! minatumia kitu cha Tecno N7, ikofasta kwa net na inakaa na jiwe kwa muda mrefu.
 
Android wapo juu sana mkuu hata me nakubali ........
 
kwa sababu ya full internet inarun vitu vingi ndo maana hata iphone haikai na moto kabisa ila unaweza kuzima 3g inakaa na charge sana uwashe tu pindi utakapotaka kuitumia.

hapo wengi tunalaum android inakula chaj ukiwasha 3g ila kama ni 2g mbona iko makini sana
 
Dah..!! minatumia kitu cha Tecno N7, ikofasta kwa net na inakaa na jiwe kwa muda mrefu.

nimeiona moja posta laki nne tu ila gsm arena haipo napenda kuichambua simu kabla ya kuitimia naona mnaipambia lkn nashindwa pa kudhibitisha
 
Samsung wapo juu, teknolojia yao ni nzuri sana.
 
Back
Top Bottom