BinMgen
JF-Expert Member
- Jun 18, 2008
- 1,867
- 303
My s3 ikiwa 3G hadi sasa iko 71% ya battery huku ikiwa imerun for 20hrs kawaida nakaa nayo 37-40 hrs on net.
Hakuna kitu kama hicho.usidanganye watu.
My s3 ikiwa 3G hadi sasa iko 71% ya battery huku ikiwa imerun for 20hrs kawaida nakaa nayo 37-40 hrs on net.
Kwa sababu ya full internet inarun vitu vingi ndo maana hata iphone haikai na moto kabisa ila unaweza kuzima 3G inakaa na charge sana uwashe tu pindi utakapotaka kuitumia.
Hapo sasa ni lazima ufunge ndoa na socket
Naunga mkono hoja, akigusa na ios, atajuta tena kwanini hakuijua mapema.Mwana kuna kitu cha iPhone kinatumia IOS ni makini haswa mkuu
Naunga mkono hoja, akigusa na ios, atajuta tena kwanini hakuijua mapema.
Yu have spended much maana mm natumia huawei y300 mh i guec hakuna tunachotofautiana kwa kweli
Shida bei kaka! Watapotea kwenye uso wa dunia hii wakigang`ania mabei yao ya juu. 1ps ya iphone unapata 4pcs za tecno yenye uwezo sawa na hiyo iphone.. hapa naimanisha mfano iphone 4 vs tecno n7.
Hakuna kitu kama hicho.usidanganye watu.
Mkuu umeua!.. spended au spent?..
Ndg hizi simu ukishindana nazo utakufa masikini kwa ujumla mm nishatumia ios,android,symbian,os na windows.hakika uzur wa simu unategemea na nn unapendelea kwenye simu utumie kama u mtu wa kuckiliza music na kubrowse kama mm basi angalia simu yenye uwezo huo na kweli nimekuta ni symbian na blackberry atleast kwangu znakaa na charge a day!android kwangu hata masaa sita haimaliz,so naona kila mtu aangalie kipi anapenda kwenye simu n hilo tu kama ushaur wa ziada
kula like mkuu