Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,479
- 9,546
Ndio unazimaje coz kwa kweli hili suala la charge ni balaa_
Unaenda kwenye settings, Networks, wireless netiwork afu unatoa tick kwenye enable data....
Ndio unazimaje coz kwa kweli hili suala la charge ni balaa_
kaka nimetafuta setting ya 2G sijaiona
Kweli kabisa.huko kwingine mbwembwe tu samsung galaxy note II GT N7100 ile ni sayari nyingine ...nahc kama napata raha na mrembo ndani ya swimming pool
Kwa sababu ya full internet inarun vitu vingi ndo maana hata iphone haikai na moto kabisa ila unaweza kuzima 3G inakaa na charge sana uwashe tu pindi utakapotaka kuitumia.
how much does it cost.
kaka nimetafuta setting ya 2G sijaiona
Dah..!! minatumia kitu cha Tecno N7, ikofasta kwa net na inakaa na jiwe kwa muda mrefu.
achana na iyo makitu...kuna kitu inaitwa TECNO Q1...Android ni balaa
Tatizo hizikai na chaji[/QUOTE
Mbona yngu inakaa na chaji!!
achana na iyo makitu...kuna kitu inaitwa TECNO Q1...Android ni balaa
sasa utofautii wa smart na feature phone utajitokeza wapi????hapo wengi tunalaum android inakula chaj ukiwasha 3g ila kama ni 2g mbona iko makini sana
sasa utofautii wa smart na feature phone utajitokeza wapi????
i believe in technology najua watagundua kitu cha kufanya charge ikae sana.na sasa 4g ndo hio inakuja simu zitakua zinakaa na charge masaa mawili tu