Najuta kuacha kazi

Najuta kuacha kazi

Yaani hakuna namna nyingine ya kuweza kurudi kazini? Au ukapata kazi sehemu nyingine?

Wanaume ni watu wajanja sana, hii siri nawapeni wanawake Usikubali kushawishika na mmeo/mpenzi wako kuacha kazi yaani ukikubali atakunyanyasa hatakusikiliza atakupuuza hadi akili ikukae sawa....

Hapo mwanaume tayari amesha kufanya koloni lake utapata tabu sana.... Ulipo kubali kuacha kazi ulifanya makosa makubwa sana.....
Namna ipo coz nna vyeti..nafight
 
Matatizo yanakupa fursa ya kmjua yule uliyenaye jaribu kutafuta kazi naamini hutakosa ndani ya miaka hii miwili mmeo ni mbinafsi na usitegemee msaada toka kwake labda apate tatizo ambalo atakumbuka msaada wako tafuta ata kazi ya chini kabisa itafungua milango mingine mbeleni
 
Kuna haka kamsemo "acha Kazi uone kazi kupata kazi" Unakakumbuka lakini acha kulalamika tafuta kazi uheshimike
 
Sasa mke wangu unaenda kazini mwisho wa mwezi unalipwa laki tatu wakati mshahara wangu milioni nne na ushehe niendelee kumuacha afanye hiyo kazi nina wazimu???

Tuliza akili mama nitakua nakulipa laki tano kila mwezi kaa hapa nyumbani
Nilishawahi kufanya hivi, inaondoa malumbano yasiyo lazima, nilikuwa nampa mshahara mke wangu wakati yuko idle.
 
Kuhusu kuenda kwenu simlaumu... Hata kwenu watawashangaa wakiwa wanawaona mara kwa mara afu si unajua huwezi kwenda ukweni mikono mitupu mkuu
 
1. Hakuna marefu yasiokuwa na mwisho

2. Kila jambo linachangamoto zake....vumilia

3. Huwezi kumwambia akuelewe wewe binafsi hilo halipo
..... Newton's first law of motion & momentum

The body will continue in its state of rest or uniform motion unless acted by external force

Huyo anahitaji external force...this force must come from one among his family...mtu ambaye yeye anamgwaya na kumsikiliza, anaweza kuwa baba, mama , kaka/dada au mjomba/Shangazi nk
Na huyu mtu lazima pia awe na uelewano mzuri kwako na anakuheshimu nakukusikiliza shida zako... HUYO NDIYO MPE MATESO YAKO AYAFIKISHE KWA MUMEO....external force, meaning the rate of change of momentum is directly proportional to the equal applied force. What you're applying is not proportional to change the state of rest or uniform motion of you're husband..... He is used to hear from you and you're just as making noise to him. Someone respected from external may do at least.

2. Ukifanya mchezo/mzaha ndoa yako inavunjika na inaokena upo at the edge if trend showing throughout you're presentation is real at that state....psychologically you're at the plastic deformation prior to breaking point with respect to hooks law of elasticity on materials failure mode.

Thanks
 
Mkataba wangu wa kazi uliisha nikatafuta kazi sehemu nyingine nikapata,mme wangu akanishawishi kuwa mshahara ni mdogo kuliko Mwanzo halafu ni mbali na yeye so bora nijiajiri huku nikiangalia fam kwa ukaribu

Toka nimeacha kazi,nakosa hata pesa ya mahitaji yangu muhimu,mtaji nilioahidiwa siuoni,nna madeni chungu nzima coz nawasomesha wadogo zangu wawili walikoko college(jamaa hajawi hata kunisupport na anajua situation ya nyumbani kwetu) inaniuma sana pale mama yangu anaponiomba hata elfu 20 nakosa ya kumpa wakati nikiwa kazini nilikuwa nampa pesa nyingi na kuhudumia fam bila shida..

Roho inaniuma coz ninashuhudia jinsi mme wangu na wanafamilia wenzie wanavyopanga budget ya matumizi ya wazazi wao (kwa whattsapp family group na amount ili wawapelekee wazazi wao wakati mimi mama yangu hana kitu kabisa..kwa kweli nimekata tamaa na sijui hata nifanye ninikuna wakati natamani hata kurudi kwetu ili nikajipange upya na kuanza upya maisha yangu ila nafsi inakataa

Note:mme wangu hajawahi kunikosea ni mambo kama hayo tu ndo yanayoniumiza,halafu anapenda niende kwao tu,hataki niende kwetu na wakati njia ya kwenda kwao ni lazima upite mkoani kwetu na mara nyingi tunakuwa na private car but kupita anakuwa mgumu sana..hivi wanawake wenzangu mliopo kwenye ndoa situations kama hizi mnazihandle vipi?NISAIDIENI NAKUFA kwa MAWAZO

PS: NSSF nao wananizungusha kweli kunipa kapesa kangu kadogo,nina imani nikikapata katanisaidia kuinuka tena
Pole sana muweke wazi kuhusu hilo linalo kusibu atakuelewa tu
 
Kuna kitu nimekutumia PM, ingawa naona kama umeifunga PM yako.
Mkuu, nakushauri ungefunguwa PM yako ili upate msaada kwa hali hii yenye unaipitia. Na ikiwa utaona kama panatokea mtu mwenye kukuletea yasio kupendeza huko PM, basi nivyema ukam-block.

Kuna watu wanataka wa take advantage..
 
Ni ni jambo jema lakini utekelezaji ndio shida kwa watu wengi
Sasa mke wangu unaenda kazini mwisho wa mwezi unalipwa laki tatu wakati mshahara wangu milioni nne na ushehe niendelee kumuacha afanye hiyo kazi nina wazimu???

Tuliza akili mama nitakua nakulipa laki tano kila mwezi kaa hapa nyumbani
 
Yaani hakuna namna nyingine ya kuweza kurudi kazini? Au ukapata kazi sehemu nyingine?

Wanaume ni watu wajanja sana, hii siri nawapeni wanawake Usikubali kushawishika na mmeo/mpenzi wako kuacha kazi yaani ukikubali atakunyanyasa hatakusikiliza atakupuuza hadi akili ikukae sawa....

Hapo mwanaume tayari amesha kufanya koloni lake utapata tabu sana.... Ulipo kubali kuacha kazi ulifanya makosa makubwa sana.....
Siyo wote ni baadhi kujifanya mabazazi
 
Yaani hakuna namna nyingine ya kuweza kurudi kazini? Au ukapata kazi sehemu nyingine?

Wanaume ni watu wajanja sana, hii siri nawapeni wanawake Usikubali kushawishika na mmeo/mpenzi wako kuacha kazi yaani ukikubali atakunyanyasa hatakusikiliza atakupuuza hadi akili ikukae sawa....

Hapo mwanaume tayari amesha kufanya koloni lake utapata tabu sana.... Ulipo kubali kuacha kazi ulifanya makosa makubwa sana.....

Ataulizwa achague kazi au ndoa
 
Pole dada, I wouldn’t advise you to go back home, at least you have learnt a lesson. I guess you have kids with your hubby, sasa muombe Mungu, Mimi hajawahi niangusha, then tafuta kazi taratibu,sio kwa pressure because you may find yourself landing to a stupid employer. Usikate tamaa, unayoyapitia yamenigusa, nitakuwekakwenye maombi yangu pia.
 
Matatizo yanakupa fursa ya kmjua yule uliyenaye jaribu kutafuta kazi naamini hutakosa ndani ya miaka hii miwili mmeo ni mbinafsi na usitegemee msaada toka kwake labda apate tatizo ambalo atakumbuka msaada wako tafuta ata kazi ya chini kabisa itafungua milango mingine mbeleni

Ushahuri wako haupo polite sanaa
 
Mkataba wangu wa kazi uliisha nikatafuta kazi sehemu nyingine nikapata,mme wangu akanishawishi kuwa mshahara ni mdogo kuliko Mwanzo halafu ni mbali na yeye so bora nijiajiri huku nikiangalia fam kwa ukaribu

Toka nimeacha kazi,nakosa hata pesa ya mahitaji yangu muhimu,mtaji nilioahidiwa siuoni,nna madeni chungu nzima coz nawasomesha wadogo zangu wawili walikoko college(jamaa hajawi hata kunisupport na anajua situation ya nyumbani kwetu) inaniuma sana pale mama yangu anaponiomba hata elfu 20 nakosa ya kumpa wakati nikiwa kazini nilikuwa nampa pesa nyingi na kuhudumia fam bila shida..

Roho inaniuma coz ninashuhudia jinsi mme wangu na wanafamilia wenzie wanavyopanga budget ya matumizi ya wazazi wao (kwa whattsapp family group na amount ili wawapelekee wazazi wao wakati mimi mama yangu hana kitu kabisa..kwa kweli nimekata tamaa na sijui hata nifanye ninikuna wakati natamani hata kurudi kwetu ili nikajipange upya na kuanza upya maisha yangu ila nafsi inakataa

Note:mme wangu hajawahi kunikosea ni mambo kama hayo tu ndo yanayoniumiza,halafu anapenda niende kwao tu,hataki niende kwetu na wakati njia ya kwenda kwao ni lazima upite mkoani kwetu na mara nyingi tunakuwa na private car but kupita anakuwa mgumu sana..hivi wanawake wenzangu mliopo kwenye ndoa situations kama hizi mnazihandle vipi?NISAIDIENI NAKUFA kwa MAWAZO

PS: NSSF nao wananizungusha kweli kunipa kapesa kangu kadogo,nina imani nikikapata katanisaidia kuinuka tena
Natumai u mzima wa afya njema, nimesoma ujumbe wako nimesikia kuumia sana moyoni,!

La Princesa,najaribu kuitazama hali ya mama yangu kule kijijini,halafu akose mtu wa kumsaidia ilhali yeye hana uwezo wa kujitafutia pesa ya kujikimu,roho inauma sana

Lakini vipi shemeji umejaribu kuongea naye juu ya jambo hilo? Na kwanini akuwekee mazingira magumu wewe kwenda kumuona mama? Kwa vyovyote vile,huyo ni mzazi wako na kama hana msaada mwingine zaidi ya wewe,usikubali kumuacha mama akateseka,(ni mama kama alivyo mama wa mumeo)

Sikushauri kuvunja ndoa yako hata kidogo,lakini ni muhimu kutafuta namna zozote zinazowezekana kuhakikisha mama anapata angalau kiasi kidogo cha kumuwezesha kupata mahitaji yake

Dada,mimi ni mwanaume,najua wakati fulani si rahisi sana kushauriwa na mwanaume namna ninavyokushauri

Kwanza ukiona hali imekuwa ngumu sana kupata pesa,bana hata ya matumizi ya nyumbani,mtumie mama,(mf kama anakupa bajeti ya sh.15000 kwa siku,hakikisha hapo angalau 7000 unaiweka pembeni,kwa wiki nzima mtumie mama) maisha yaendelee

Ukweli kuacha kazi haukuwa uamuzi mzuri,hasa ukizingatia nature ya mume wako,lakini haupaswi kujutia tu,ni lazima uchukue hatua,bora ukala maharage,dagaa kwa angalau wiki moja,umsapoti mama!

Pole sana,kwa mapito hayo magumu..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom