jesse alibalio
JF-Expert Member
- May 13, 2011
- 268
- 49
1-Unasoma thread hii.
2-Wewe ni binadamu.
3-Huwezi kusema "P" bila kuunganisha lips zako.
4-Umejaribu kusema "P" bilaa kuunganisha lips umeshindwa.
6-Umejicheka mwenyewe.
7-Unatasabamu.
8-Hujajua kama nimeruka namba 5.
9-Umeangalia kama namba 5 ipo.
10-Unajicheka mwenyewe sababu nimekushika.
2-Wewe ni binadamu.
3-Huwezi kusema "P" bila kuunganisha lips zako.
4-Umejaribu kusema "P" bilaa kuunganisha lips umeshindwa.
6-Umejicheka mwenyewe.
7-Unatasabamu.
8-Hujajua kama nimeruka namba 5.
9-Umeangalia kama namba 5 ipo.
10-Unajicheka mwenyewe sababu nimekushika.