simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,409
- 9,183
Kwa hivyo rais wa Zanzibar ni sawa na mkuu wa mkoa au sijakuelea vizuri? Sidhani Muheshimiwa anayo musafara "hevi " magari kumi pungufu kiduchu,karibu Zanzibar ushuhudie mwenyewe.Hakuna nchi inaitwa Zanzibar.
Wakati mwingine tuache unafiki tuwe wakweli. Zanzibar ni sehemu ya Tanzania.