GHIBUU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 4,432
- 3,006
Najua nchi pekee duniani ambayo huchaguliwa Rais wa nchi na nchi nyengine ni Zanzibar
Yaani kwanza tuje kwenye chama, CCM huteua mgombea wao wa Rais hapa Zanzibar, akifika Dodoma anawekwa kule wanapewa mtu mwengine.
Pili uchaguzi, Tanganyika inahakikisha kuwa uchaguzi Zanzibar unafanyika kwa mtutu, kuhakikisha Rais wake anachukua nchi hata kwa kugharimu maisha ya watu.
Kufuta uchaguzi au kugeuza matokeo.
Nchi ya ajabu hii Zanzibar
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani kwanza tuje kwenye chama, CCM huteua mgombea wao wa Rais hapa Zanzibar, akifika Dodoma anawekwa kule wanapewa mtu mwengine.
Pili uchaguzi, Tanganyika inahakikisha kuwa uchaguzi Zanzibar unafanyika kwa mtutu, kuhakikisha Rais wake anachukua nchi hata kwa kugharimu maisha ya watu.
Kufuta uchaguzi au kugeuza matokeo.
Nchi ya ajabu hii Zanzibar
Sent using Jamii Forums mobile app