Najua nchi pekee duniani ambayo huchaguliwa Rais wa nchi na nchi nyengine ni Zanzibar

Tanganyika iliishakufa zamani, tukazika. Serikali ya JMT inashughulikia mambo yote ya Muungano na yasiyo ya Muungano.

Jamuhuri ni JMT, Zanzibar ilikuwa Jamuhuri ya Watu wa Zanzibar nayo pia ilikufa wakati mmoja na Tanganyika ndio maana Zanzibar sio nchi, nchi ni JMT.

Haya ninayoyasema kuhusu Zanzibar ni ukweli mtupu na nausema wazi wazi bila kumung'unya maneno

Mfano



P.
Tanganyika imekufa machoni pa wanaCCM na sio kwa wananchi wote!
 
Mkuu Mokaze, kwanza nakubali mtu kukosa aibu katika kuusema ukweli ni tatizo, na ukiwa mkweli too much, ukweli huo una very high cost to pay ikiwemo kuonekana kama an enemy of the people, kwa watu waliozoea uongo au kudanganywa, ukiwaambia ukweli, utachukiwa, hivyo ndivyo mimi nilivyo humu jf, kwenye ukweli, unasemwa no matter what, lakini pia katika kuusema ukweli humu, siusemi kwa mtindo wa upayukaji au uropokaji, bali unatanguliza maslahi kwa taifa, ukiona ukweli huu ukijulikana hauna maslahi kwa taifa, then ukweli huo unauhifadhi, kuna some truths they are better kept as secrets than let them known na hiki ndicho nilichokifanya kwenye mabandiko kama haya





Hoja ya kwanini kila Mzazibari ni Mtanzania na anahaki zote za kiraia za Mtanzania ikiwemo ajira, kumiliki mali, kufanya biashara popote, kumiliki ardhi etc, wakati sio kila Mtanzania ana haki hizo Zanzibar, kuna vitu ili uweze kuvifanya Zanzibar ni lazima uwe Mzazibari, hili ni jambo dogo tuu la elimu ya uraia kutokana na geopolitical na nature of Zanzibar size inakuwa treated as a minority, tungeacha kila kitu free, vile visiwa tungevizamisha kwa kuvimeza.

Hakuna tena kitu kinachoitwa Tanganyika, Tanganyika ilikufa baada ya Muungano wetu adhimu, so does Jamuhuri ya Watu wa Zanzibar.

Kilichopo sasa ni nchi moja tuu JMT yenye sehemu mbili zinazounda JMT ambazo ni Tanzania Bara, (iliyokuwa Tanganyika) na Tanzania Visiwani au Tanzania Zanzibar,(, iliyokuwa Jamuhuri ya Watu wa Zanzibar).
Ndani ya Muungano, Tanzania Bara na Tanzania Visiwani zina equal status.
JMT ndio supreme wao.

Watanzania wote ni sawa na Tanzania ni moja.

Hata wewe ndani ya utawala wa nucleus government yako ya familia kama mume na mke wote mko na status sawa kisheria, lakini unajua kabisa kuna vitu wewe kama Baba ni kichwa cha nyumba, na kuna vitu lazima uvifanye as baba, na mama pia ana duties and responsibilities zake hapaswi kuingiliwa au kupangiwa. Hivyo ndivyo ulivyo Muungano wetu adhimu, kuna vitu ni vya Muungano ni vya wote na kuna vitu ni vya Zanzibar, havihusu Tanzania kwa jinsi ile ile, mume mwenye busara hahitaji kujua contents za kwenye handbag ya mkewe or contents za kijaluba cha mkewe chumbani.

Mambo ya ndani ya Zanzibar, waachiwe Wazanzibari wenyewe.
P

 
Tanganyika iliishakufa zamani, tukazika. Serikali ya JMT inashughulikia mambo yote ya Muungano na yasiyo ya Muungano.

Jamuhuri ni JMT, Zanzibar ilikuwa Jamuhuri ya Watu wa Zanzibar nayo pia ilikufa wakati mmoja na Tanganyika ndio maana Zanzibar sio nchi, nchi ni JMT.

Haya ninayoyasema kuhusu Zanzibar ni ukweli mtupu na nausema wazi wazi bila kumung'unya maneno

Mfano



P.


Jamhuri (a republic)--- "a state in which supreme power is held by the people and their elected REPRESENTATIVES and which has an ELECTED or nominated PRESIDENT rather than a monarch. "

👆🏻All those iisted merits are to be found in Zanzibar hence it suits be regarded as a Jamhuri and a state,.-- A state within a state. What a paradox !!😁😁
 
Jamhuri (a republic)--- "a state in which supreme power is held by the people and their elected REPRESENTATIVES and which has an ELECTED or nominated PRESIDENT rather than a monarch. "

👆🏻All those iisted merits are to be found in Zanzibar hence it suits be regarded as a Jamhuri and a state,.-- A state within a state. What a paradox !!😁😁
Nadhani elimu niliyoitoa kuhusu status of Zanzibar ndani ya Muungano na nje ya Muungano, imetosha. Nchi kuwa nchi sio mipaka tuu na kuchagua viongozi. Nchi kuwa nchi, kitu cha kwanza ni sovereignty. Zanzibar haina sovereignty, haina dola, haina jeshi, haina polisi, haina Tiss, haina sarafu, haina utambulisho nje ya JMT.
I think its enough.
P
 
Nadhani elimu niliyoitoa kuhusu status of Zanzibar ndani ya Muungano na nje ya Muungano, imetosha. Nchi kuwa nchi sio mipaka tuu na kuchagua viongozi. Nchi kuwa nchi, kitu cha kwanza ni sovereignty. Zanzibar haina sovereignty, haina dola, haina jeshi, haina polisi, haina Tiss, haina sarafu, haina utambulisho nje ya JMT.
I think its enough.
P


Shida Mkuu Mayalla wewe unasema huoni aibu kusema kweli, lakini ninashangaa inapofika kusema ukweli kuhusu Zanzibar unaficha ukweli kwa sababu ukweli huo ni mchungu kwako na sijui ni kwa sababu ipi?!!

Zanzibar ni nchi tena ni jamhuri na inazo sifa zote za kuwa hivyo, kama siyo dola au siyo nchi kamili lakini hayo yote hayaiondolei haki Zanzibar kuwa nchi.

Ndiyo maana tunasema muungano unahitaji "overall review" the state in which it is now, is outmoded.

Mwanadamu ni dynamic in all his undertakings because his minds oblige him to be so, keeping the Union as it is now the same it was established in 1964 defies the human mind dynamism principle.

Let people (the modern generation) choose the way they need their country go for the good of their country and prosperity.

The generation of 1964 its time is gone, the time now is that of 1980s to date.

Thanks Mr Mayalla for having with me the lively discussion, have a good night.
 
Tanganyika imekufa machoni pa wanaCCM na sio kwa wananchi wote!
Facts are stubborn things. Tanganyika ceased to exit baada ya kuzaliwa Tanzania, ila kujifurahisha kuwa Tanganyika bado ipo, it's still exists ndani ya mioyo ya Watanyika, rukhsa kujifurahisha.

P
 
Nini hatma / muelekeo wa Muungano upinzani ukishinda uchaguzi 2020?


Kwa maoni yangu kama utapenda; nadhani Muungano utatejelewa upya (overall review), kuona kama muundo wake bado unayo tija au vinginevyo itakavyokuwa.

Tupo katika generation mpya, 4G na siyo ile generation ya kwanza 1G.
 
Facts are stubborn things. Tanganyika ceased to exit baada ya kuzaliwa Tanzania, ila kujifurahisha kuwa Tanganyika bado ipo, it's still exists ndani ya mioyo ya Watanyika, rukhsa kujifurahisha.

P
Hebu tujikumbushe Congo iliitwa Zaire kwa miongo kadhaa baada ya kuondolewa dikteta Mobutu imerudia jina lake halisi.Hali kadhalika Tanganyika itarudi tena ikiwa na utukufu wake mwingi. Mambo mengi ambayo yaliondoka sababu ya CCM yatarudi, baada ya hili chama kongwe kuondoka. Kama unabisha bwana Mayala a. k. a njaa iitishwe kura ya maoni kwamba wananchi wangapi wanahitaji serikali 3 utaona mziki wake utakavyo kuwa. Kwa hiyo kurudi kwa Tanganyika kutaendana na kufa kwa CCM.
 
Hebu tujikumbushe Congo iliitwa Zaire kwa miongo kadhaa baada ya kuondolewa dikteta Mobutu imerudia jina lake halisi.Hali kadhalika Tanganyika itarudi tena ikiwa na utukufu wake mwingi. Mambo mengi ambayo yaliondoka sababu ya CCM yatarudi, baada ya hili chama kongwe kuondoka. Kama unabisha bwana Mayala a. k. a njaa iitishwe kura ya maoni kwamba wananchi wangapi wanahitaji serikali 3 utaona mziki wake utakavyo kuwa. Kwa hiyo kurudi kwa Tanganyika kutaendana na kufa kwa CCM.
Kama kurudi kwa Tanganyika kunategemea mpaka CCM itoke madarakani, then utasubiri sana maana CCM is there to stay, itatawala Tanzania milele.


Hili la CCM kutawala milele ni ili kuulinda Muungano wetu adhimu ndio maana nikasema kuna mahali kuna mtu kila siku anashinda lakini hatangazwi na hapewi kwa kuhofia misimamo yake kuhusu huu Muungano wetu adhimu.
P
 
kuna mtu kila siku anashinda lakini hatangazwi na hapewi kwa kuhofia misimamo yake kuhusu huu Muungano wetu adhimu.



Do you feel proud of that hyperbole deed?!🤔🤔

Just making a show case election wasting public funds while you know prior who gonna Win.🤠🤠-- that is a crime leading our country astray to blood shed.

Eee,Mungu wetu tuepushe tusifikie huko tunako LAZIMISHWA kwenda.
 
Nini hatma / muelekeo wa Muungano upinzani ukishinda uchaguzi 2020?
Mkuu Simple Mind, ama kweli wewe mind yako kweli ni simple, yaani unawaza possibility ya upinzani kushinda Uchaguzi Mkuu wa 2020?!.

Sisi wenzenu ni ma deep thinkers, sio simple mind, tunatazama mbali. Kwa 2020 it's too little too late for opposition kufanya lolote la maana kuwaletea ushindi


Kipindi cha 2020,-2025 ni CCM pekee, ndio ngwe ya pili ya Magufuli, ananyoosha kila kitu ukiwemo upinzani Upinzani utaanza tena kufurukuta baada ya 2025 hivyo Wapinzani wataanza anza 2030.


P
 
watanzania tuna hulka ya kutotaka kuukubali ukweli.........


huu muungano tutakufa na kuuacha maana hakuna (powers that be) anaetaka uvunjike kwa sababu flani flan zilizo wazi!.......


bara wakubali kupakana na somalia nyingine? cant be!...... hata hao western wanaotetea demokrasia kwa zenji wamekaa kimya, sio km hawaoni......


mimi naamini ccm itatawala kwa mda mrefu zaidi (unless yafanyike mapinduzi), na muungano utadumu zaidi (unless ccm usiwepo madarakani)!!!!......... chances of that happening, almost negligible!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini umesema bara wapakane na Somalia nyingine? Ina maana Nyerere alipoleta hili wazo ilikuwa ni kuepuka kupakana na nchi inayofanana na Somalia?
 
Mkuu Simple Mind, ama kweli wewe mind yako kweli ni simple, yaani unawaza possibility ya upinzani kushinda Uchaguzi Mkuu wa 2020?!.

Sisi wenzenu ni ma deep thinkers, sio simple mind, tunatazama mbali. Kwa 2020 it's too little too much for opposition kufanya lolote la maana kuwaletea ushindi


Kipindi cha 2020,-2025 ni CCM pekee, ndio ngwe ya pili ya Magufuli, ananyoosha kila kitu ukiwemo upinzani Upinzani utaanza tena kufurukuta baada ya 2025 hivyo Wapinzani wataanza anza 2030.


P
Mkuu Pascal uliyoyaona kuanzia 2020 nami ndio naona hivyo hivyo. Ila baada ya 2025 naona kuna hati hati, Magufuli hataongeza muda wa kukaa madarakani?

Maana kuna CCM wengi na wananchi wengi wa kawaida wanataka abaki (na yeye mwenyewe anatamani aendelee kubaki ila hawezi kusema hadharani).

Pengine kitakacho mzuia kubaki labda ni hawa CCM elites kama kina Mkapa na Kikwete, hawa wanaweza kumruhusu pia na wakimruhusu tu hakuna wa kuzuia

Je huoni kuna uwezekano mkubwa sana wa jamaa kubaki baada ya 2025?
 
Mkuu Simple Mind, ama kweli wewe mind yako kweli ni simple, yaani unawaza possibility ya upinzani kushinda Uchaguzi Mkuu wa 2020?!.

Sisi wenzenu ni ma deep thinkers, sio simple mind, tunatazama mbali. Kwa 2020 it's too little too late for opposition kufanya lolote la maana kuwaletea ushindi


Kipindi cha 2020,-2025 ni CCM pekee, ndio ngwe ya pili ya Magufuli, ananyoosha kila kitu ukiwemo upinzani Upinzani utaanza tena kufurukuta baada ya 2025 hivyo Wapinzani wataanza anza 2030.


P
A day is l
Mkuu Simple Mind, ama kweli wewe mind yako kweli ni simple, yaani unawaza possibility ya upinzani kushinda Uchaguzi Mkuu wa 2020?!.

Sisi wenzenu ni ma deep thinkers, sio simple mind, tunatazama mbali. Kwa 2020 it's too little too late for opposition kufanya lolote la maana kuwaletea ushindi


Kipindi cha 2020,-2025 ni CCM pekee, ndio ngwe ya pili ya Magufuli, ananyoosha kila kitu ukiwemo upinzani Upinzani utaanza tena kufurukuta baada ya 2025 hivyo Wapinzani wataanza anza 2030.


P
Mkuu Simple Mind, ama kweli wewe mind yako kweli ni simple, yaani unawaza possibility ya upinzani kushinda Uchaguzi Mkuu wa 2020?!.

Sisi wenzenu ni ma deep thinkers, sio simple mind, tunatazama mbali. Kwa 2020 it's too little too late for opposition kufanya lolote la maana kuwaletea ushindi


Kipindi cha 2020,-2025 ni CCM pekee, ndio ngwe ya pili ya Magufuli, ananyoosha kila kitu ukiwemo upinzani Upinzani utaanza tena kufurukuta baada ya 2025 hivyo Wapinzani wataanza anza 2030.


P
A week is a long time in politics.Anyway ,hujajibu swali-nini hatma /muelekeo wa muungano ccm iking'olewa madarakani ama kwa uchaguzi au maandamano?
 
A day is l


A week is a long time in politics.Anyway ,hujajibu swali-nini hatma /muelekeo wa muungano ccm iking'olewa madarakani ama kwa uchaguzi au maandamano?
Suali zuri sana

Tena sana..

CCM na serikali yake lazima watafakari sana, wao Ndio wanao uvunja, unajua jambo linapo kuwa kero mwisho huchukizwa, na kwa sasa miaka 50 wazanzibari tayari wameanza kuchukizwa.

Kama utawauliza wazanzibari munautaka muungano watasema hawautaki.
Na kama utawauliza muungano gani munautaka watakwambia mkataba.

Hii ni ishara ya kwamba tayari haupo tena kwenye nyoyo zetu, ccm wanajua hilo na hawataki kukubali.
 
Suali zuri sana

Tena sana..

CCM na serikali yake lazima watafakari sana, wao Ndio wanao uvunja, unajua jambo linapo kuwa kero mwisho huchukizwa, na kwa sasa miaka 50 wazanzibari tayari wameanza kuchukizwa.

Kama utawauliza wazanzibari munautaka muungano watasema hawautaki.
Na kama utawauliza muungano gani munautaka watakwambia mkataba.

Hii ni ishara ya kwamba tayari haupo tena kwenye nyoyo zetu, ccm wanajua hilo na hawataki kukubali.
Ukweli mchungu ccm mismanaged the union hadi wananchi pande zote mbili Tanganyika na Zanzibar wanauona Muungano zaidi ya kero. Ukweli mtupu anguuko la ccm mwisho wa muungano.
 
Kama kurudi kwa Tanganyika kunategemea mpaka CCM itoke madarakani, then utasubiri sana maana CCM is there to stay, itatawala Tanzania milele.


Hili la CCM kutawala milele ni ili kuulinda Muungano wetu adhimu ndio maana nikasema kuna mahali kuna mtu kila siku anashinda lakini hatangazwi na hapewi kwa kuhofia misimamo yake kuhusu huu Muungano wetu adhimu.
P
Hili suala la CCM kutawala milele halipo mkuu mayala. Kulikuwa na tawala za kibabe zaidi ya CCM na sasa hazipo tena. CCM kutawala ni suala la muda tu itandoka!
 
Hili suala la CCM halipo mkuu mayala. Kulikuwa na tawala za kibabe zaidi ya CCM na sasa hazipo tena. CCM kutawala ni suala muda tu itandoka!
Wananchi watahakikisha watu fulani a,b,c,d wanasota rumande hadi Mungu awapende.
 
Hili suala la CCM kutawala milele halipo mkuu mayala. Kulikuwa na tawala za kibabe zaidi ya CCM na sasa hazipo tena. CCM kutawala ni suala la muda tu itandoka!
Hawako mbali sana
 
Back
Top Bottom