Najivunia kuzaliwa wa kike

Najivunia kuzaliwa wa kike

Hahahaaaaa wakina nani hao?
wanaume .. wanatumwagia wanasepa kitu kinaota tumboni tu kinakutesa balaa halafu unazaa kwa uchungu unachanwa halafu ukija kitaa wanatuita makopo ... wapigwe jua nasema tena jua liwachome na hela zao tutazila tu bila huruma
 
Raha tupu

Hata Ukituficha najua kuna wakati unalia mwenyewe kwasababu ya jinsia yako ingawaje hapa unazuga nyuma ya pazia kila mwanamke huwa analia kilio kinachohusishwa na ujinsia wake
 
wanaume .. wanatumwagia wanasepa kitu kinaota tumboni tu kinakutesa balaa halafu unazaa kwa uchungu unachanwa halafu ukija kitaa wanatuita makopo ... wapigwe jua nasema tena jua liwachome na hela zao tutazila tu bila huruma

Ndio kweli kabisa hela ya mwanaume sio ya kuionea huruma yaani ni yam yam yam mpaka wakome.
 
Wengi wenu mnadhani huwa tunawapenda sana lkn ktk tafiti nyingi zinaonyesha men love once,zingine ni kupiga tu,namnapigwa kweli kweli maana hakuna namna mtaacha kupigwa
 
Unajifariji ila ukweli unaujua, wasichana wangapi wanaobahatika kuolewa siku hizi? Nina mtoto wa kike pia but najitahidi kumlea katika maadili mema na nitajitahidi kumsomesha mpaka atakaposhindwa mwenyewe, kwa baraka za mwenyezi MUNGU, ataolewa hatimaye, refer to isaiah 4:1.

Hahahaa mkuu wew mlee tuu kwa maadili mema na afaulu shule. Maana akifeli lazma achune tuu na anaweza akafaulu na bado akachuna tuu hela ya wanaume ni tamu sana
 
wanaume .. wanatumwagia wanasepa kitu kinaota tumboni tu kinakutesa balaa halafu unazaa kwa uchungu unachanwa halafu ukija kitaa wanatuita makopo ... wapigwe jua nasema tena jua liwachome na hela zao tutazila tu bila huruma

Mle tuu lakini chamoto mnakipataga.
 
Kinachouma zaidi ni kwamba hao hao akina dada tunavuja nao jasho kwenye kazi mbali mbali, mabenki, MADAKTARI, manesi, walinzi n.k, mnajivunia kuhongwa mbona siku hizi wimbi la sisi kuhongwa linaongezeka daily? Zamani ilikuwa hivyo, mambo siku hizi ni vice versa.
 
Hata Ukituficha najua kuna wakati unalia mwenyewe kwasababu ya jinsia yako ingawaje hapa unazuga nyuma ya pazia kila mwanamke huwa analia kilio kinachohusishwa na ujinsia wake

Mimi nitalia labla mwanaume ana cheat ila tofauti na hapo hakunaga kila kitu si mnatoa?
 
we cute b unalinga kisa kitobo toboza eee!!!??
lakini ukumbuke kuwa wengi wenu siku hizi hampati waume bora kisa kuendekeza njaa zenu. Mnatumika na kuharibiwa staha zenu na mwishowe mnatupwa kapuni.
Sisi wanaume hatuzeeki lakini nyie mkijitahidi kuruka ruka kwingiii kikomo chenu ni umri tuu baadae ukichakaa huna soko tena!!
 
Last edited by a moderator:
Wengi wenu mnadhani huwa tunawapenda sana lkn ktk tafiti nyingi zinaonyesha men love once,zingine ni kupiga tu,namnapigwa kweli kweli maana hakuna namna mtaacha kupigwa

Fresh mbona? Mimi mwenyew sipendi kupendwa wala kupenda. Coz nikikupenda nitakuonea huruma na ukinipenda utanifuatilia sana wacha tule rahaaaaaa
 
Unaanza kuhongwa kwanza ndo uamue kuolewa.
Nani anataka kuolewa na bahili? Honga kwanza ndoa itafuata

Wanaume wahongaji sio waoaji kama ulikuwa hujui. Akikuoa basi ujue mtakuwa wengi pia, Na uwe tayari kwa hilo.
 
Kinachouma zaidi ni kwamba hao hao akina dada tunavuja nao jasho kwenye kazi mbali mbali, mabenki, MADAKTARI, manesi, walinzi n.k, mnajivunia kuhongwa mbona siku hizi wimbi la sisi kuhongwa linaongezeka daily? Zamani ilikuwa hivyo, mambo siku hizi ni vice versa.

Mkuu pesa zenu tamu jamani lol. Bado kidogo nakamilisha ujenz wa nyumba yangu.
Hongeni tuu maana hamna namna
 
Hahahaa mkuu wew mlee tuu kwa maadili mema na afaulu shule. Maana akifeli lazma achune tuu na anaweza akafaulu na bado akachuna tuu hela ya wanaume ni tamu sana
Sikatai cute b,tunawahonga ila sijui kwa wenzangu. Mimi wanawake wengi nimewapata bila kuhonga, na wale niliowahonga mara ya kwanza, baada ya kuwapitia kibao kiliwageukia wao kunihonga mimi, sometimes mpaka huruma jamani, mtu anakupandia basi toka bukoba, arusha? Na akifika anajigharamia mwenyewe Lodge na msosi hata wiki nzima!
 
Wanaume wahongaji sio waoaji kama ulikuwa hujui. Akikuoa basi ujue mtakuwa wengi pia, Na uwe tayari kwa hilo.

Mkuu ata asiponioa mimi fresh tuu ila nikikuchuna lazma utamani kunioa tuu maana nitakuwa nimekurudisha nyuma kimaendeleo sana maana nitakukamua haswa....
Mkuu kama vile nakuona unavyofyonza
 
Back
Top Bottom