Najivunia kuzaliwa wa kike

Najivunia kuzaliwa wa kike

Wanataka mkuu...hahahaa wanazuga tuu vijiweni ila wanawaoa tuu

Ha ha ha! Nakuangalia tu unavyojishaua!

Hebu twende kwenye ujasiriamali kule, maana hapa unatuuzia chai tu.
 
we cute b unalinga kisa kitobo toboza eee!!!??
lakini ukumbuke kuwa wengi wenu siku hizi hampati waume bora kisa kuendekeza njaa zenu. Mnatumika na kuharibiwa staha zenu na mwishowe mnatupwa kapuni.
Sisi wanaume hatuzeeki lakini nyie mkijitahidi kuruka ruka kwingiii kikomo chenu ni umri tuu baadae ukichakaa huna soko tena!!

Hahahaaa mkuu maboya ndo wanaochakaaa. Mimi haitakaa itokee nakwambia.
Nachuna kama sina akili nzuri yaan adi mwanaume anaishiwa anarudi kunikopa hela ya kula lol mnatia huruma jaman
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha! Nakuangalia tu unavyojishaua!

Hebu twende kwenye ujasiriamali kule, maana hapa unatuuzia chai tu.

Hahahahaaaa najishaua kweli kweli maana mzungu na kanjibai ndo kiboko yaangu.
Kama wew na Root nawasomea raman tuu mkiingia kwenye anga zangu akyanani mtajuta
 
Last edited by a moderator:
Mkuu ata asiponioa mimi fresh tuu ila nikikuchuna lazma utamani kunioa tuu maana nitakuwa nimekurudisha nyuma kimaendeleo sana maana nitakukamua haswa....
Mkuu kama vile nakuona unavyofyonza

Hongera kwa kuwa na kisu kikali cha kuchunia. Ila ukublai kwamba hautakuwa peke yako.
 
Mkuu pesa zenu tamu jamani lol. Bado kidogo nakamilisha ujenz wa nyumba yangu.
Hongeni tuu maana hamna namna
Pia ujue kuna wanaume wengi tu hapa mjini wanajengewa majumba na ku - drive ndinga kali kali wanazopewa na wanawake wenzio!
 
Sikatai cute b,tunawahonga ila sijui kwa wenzangu. Mimi wanawake wengi nimewapata bila kuhonga, na wale niliowahonga mara ya kwanza, baada ya kuwapitia kibao kiliwageukia wao kunihonga mimi, sometimes mpaka huruma jamani, mtu anakupandia basi toka bukoba, arusha? Na akifika anajigharamia mwenyewe Lodge na msosi hata wiki nzima!

Sawa mkuu akifanya ivyo ni kwa sababu kapenda.
Lakini huwezi niambia asafe na maisha aache kupiga vizinga.
Mimi mwenyew pia nahonga ila ni zile zile nilizokuchuna
 
Pia ujue kuna wanaume wengi tu hapa mjini wanajengewa majumba na ku - drive ndinga kali kali wanazopewa na wanawake wenzio!

Fresh tuu anaye honga yoyote ni kwa sababu kazidiwa ujanja lol.
Ila yenu ni hatareee mimi apa nasimamisha mjengo bado tuu kupaka rangi na anaye nihonga anaishi cotaz chezeiyaaaaaa
 
ImageUploadedByJamiiForums1435996276.093156.jpg

Kweli mwanaume mateso
 
Hongera kwa kuwa na kisu kikali cha kuchunia. Ila ukublai kwamba hautakuwa peke yako.

Fresh tuu mkuu tuwe wengi tusaidiane majukumu. Cha muhimu mautamu napewa natembea na gari langu nakulq ninachotaka navaa ninavyotaka sasa shida nini tena
 
Jivunie tu 'anake kujegenjwa kila siku sio kitu kirahisi.
 
Hahahahaaaa najishaua kweli kweli maana mzungu na kanjibai ndo kiboko yaangu.
Kama wew na Root nawasomea raman tuu mkiingia kwenye anga zangu akyanani mtajuta

Mzungu noma, Root anamtafutia ufumbuzi. Akija na jibu basi Mzungu atakimbia nji!

Maana tutampeleka mbaya!
 
Hahahaaa mkuu maboya ndo wanaochakaaa. Mimi haitakaa itokee nakwambia.
Nachuna kama sina akili nzuri yaan adi mwanaume anaishiwa anarudi kunikopa hela ya kula lol mnatia huruma jaman

Basi utakuwa roboti au vipodozi vyako vya kichina vinakufariji kwamba huchakai eee??? endelea kuruka ruka ukifikia 30s ndo utarealize scrapt value!!!
Wanawake wajanja siku hizi wanastick na mmoja tu ambae ana vision za kimaisha. Anatulizana tuliii japo mechi za nje km kawida ila benchmark ipo.
Tulizana kabla hujachakaa wewe!!
 
....so stop demanding equality ....
 
Basi utakuwa roboti au vipodozi vyako vya kichina vinakufariji kwamba huchakai eee??? endelea kuruka ruka ukifikia 30s ndo utarealize scrapt value!!!
Wanawake wajanja siku hizi wanastick na mmoja tu ambae ana vision za kimaisha. Anatulizana tuliii japo mechi za nje km kawida ila benchmark ipo.
Tulizana kabla hujachakaa wewe!!

Ata mimi ninabakigi na mmoja tuu sichanganyi mkuu ila sasa iko kichuno chake ni balaa hamna free p apa.
Sina mwanaume zaidi ya mmoja
 
So amazing how this world was made, I wonder if God is a woman!
 
Una utani na Kilimo Kwanza wewe.
Hujui BRN ndio mpango mzima siku hizi.
 
Raha tupu

Usipotoshe wenzio, wewe utakuwa wa kishua na mtazamo wako wa kishua shua!! Waulize madada poa na wahudumu wa mabaa, wadada wasaidizi wa kazi majumbani na wengineo kama wanainjoi kufeli mtihani!
Hapa ni kama unataka wenzako wajiweke ktk dependant mode na utayari wa kuwa vikaragosi!!
 
Back
Top Bottom