Najiuliza saana!! why she Introduce me as brother to her?

Najiuliza saana!! why she Introduce me as brother to her?

kiwatengu

Platinum Member
Joined
Apr 6, 2012
Posts
19,489
Reaction score
18,379
Wakuu,
jana nilikutana na ex-girl wangu! its was unexpected...alikuwa kwenye ishu zake na wenzake 3.
tulisalimiana fresh na aliwatambulisha friends
zake!
cha ajabu aliwaambia mi n kaka yake!
najiuliza sana ni kwann aseme vle? while i'm her 1st man?
 
Wewe ni sawa na kaka yake kwa sasa. Ulitaka atangaze kuwa ulshm do?
 
She was right..thats what you are..kwani unataka kuwa mpenzi tena?

Hapana!! but, i think alikosea kuniita kaka kwani angesema ni rafiki ingekuwaje? nilirefuse hata lunch aliyonialika..
 
Wewe ni sawa na kaka yake kwa sasa. Ulitaka atangaze kuwa ulshm do?

Si lengo langu! mi sina undugu nae hata kidogo! na tuliwahi kuwa inrelationshp almost for a year...kwanini aseme kaka? hz si dharau tu?
 
So you mean "Old is Gold" did not apply?? Kama alikuwa x wako ina maana kwamba sasahivi anaye mwingine na wewe ni kaka cause currently nothing connects both of you.
 
Inategemea anakuonaje kwa ss labd yupo next level n hakutaka hao wenzie wajue alishapita kwenye level ka yako btw mambo ya x yanakuwazisha ili iweje
 
So you mean "Old is Gold" did not apply?? Kama alikuwa x wako ina maana kwamba sasahivi anaye mwingine na wewe ni kaka cause currently nothing connects both of you.

we unaweza kumwita x- wako dada/kaka?
 
Inategemea anakuonaje kwa ss labd yupo next level n hakutaka hao wenzie wajue alishapita kwenye level ka yako btw mambo ya x yanakuwazisha ili iweje

nilichangia sana yeye kufika hapo alipo...
 
Wakuu,
jana nilikutana na ex-girl wangu! its was unexpected...alikuwa kwenye ishu zake na wenzake 3.
tulisalimiana fresh na aliwatambulisha friends
zake!
cha ajabu aliwaambia mi n kaka yake!
najiuliza sana ni kwann aseme vle? while i'm her 1st man?

sioni tatizo hapo!
 
kwa kuwa ulikuwa 1st man ukaona big deal eeeh? Ulitaka akuintroduce vipi? Kuwa your the first??????? Kwanza shukuru hata umekua introduced
 
Wakuu,
jana nilikutana na ex-girl wangu! its was unexpected...alikuwa kwenye ishu zake na wenzake 3.
tulisalimiana fresh na aliwatambulisha friends
zake!
cha ajabu aliwaambia mi n kaka yake!
najiuliza sana ni kwann aseme vle? while i'm her 1st man?

Mkuu kiwatengu, umeshasema alikua na rafiki zake, huwezi jua hao rafiki zake wanaelewa nini kuhusu yeye na mahusiano yake ya sasa.

Huenda miongoni mwa hao aliokuwa nao kuna wifi yake, sasa mambo ya you know he was my ex... sijui nini visingekua na tija zaidi ya kuleta maswali mengi na matatizo yasiyo na lazima kwake.
Nadhani alikua kidiplomasia zaidi which is good anyway.
 
Last edited by a moderator:
Jamii yetu ina frown upon a girl having many ex-boyfriends, lest she be seen as licentiously lewd.

Hence the designation "kaka".

Uzuri hapo kwa intro hiyo... never mind.

Lest I acquire the ire of the womenfolk here.

Excuse me, swali la kibazazi kuchambua mambo tu.

Hapo ukimtokea mmoja wa rafiki zake aliokutambulisha kama "kaka" atakasirika au?

Maana si "kaka"?
 
Back
Top Bottom