Najiuliza kwanini wanaume mahandsome hawana hela?

Najiuliza kwanini wanaume mahandsome hawana hela?

[emoji119][emoji119][emoji119]! Men anapendeza awe na ngozi kavu kwakweli...(Mimi) ndevu huna..hela huna...ngozi lainii kidevu lainiiii chakazi gani sasa!!mwanaume unakuwa na ngozi kavuuu..mikono migumu...unyayo ngumu dadek sema usipasuke tu..muscles Sasa ndo kama zoteeee..hata ukiwa huna pesa ntavumilia tutafundishana tu jinsi ya kutafuta pesa ... We endelea kuchana nyusi tu huko na huku mwanamke wako hata wanja wa lulu.sikumbuki lini kuapply..unaachwa asbh na mapema Sana before jogoo kuwika[emoji3][emoji3]!
Hahah daah Ngoja wajuba tuendelee kufuga pori la akiba mpk swala/digidigi wapatikane kwny mbuga hio labda ndio tutafikiriwa..
 
Unataka mkono mgumu na mkavuuu, Sasa mama nanilii kweli nikikupapasa maungoni si nitakuacha na alama za michubuko na jeraha.
Inaonekana bado jank Sana....Sasa mm feelings hii ndo napenda..yaan unashikwa kiganja unahisi anakuumiza..kumbe kakushika kawaidaaa😀😀! Yaishe mkuu mie natania tu..napenda walamba lips Kama we🤸💃
 
Aisee Mimi hapa home naonaga Maraba meupe kero tu...najiuliza huyu mtu akivaa raba nyeupe atakumbuka kweli kutafuta side hustles! Mimi tu hapa navaa raba blown...nikitoka Sana ni mossimo dark blue iweje wewe ujivalishe rangi hizo?Mimi ntamwelewa men anayevaa hivyo lakini ana vyanzo 5vya pesa!.unategemea kamshahara unavaa adidas ili iweje!muone!,😀
Usiogope love, hizi raba nyeupe hatuvai kila siku. Ni Siku moja moja tu. Hivyo ni Casual footwear, ila most of the times ni moka flani laceless, nyeusi au brown.
 
Hivi Diamond ni handsome!
pesa inakufanya uwe handsome kama ukitaka lakini. Ukipangilia muonekano (fashion) na unajituma (mapato) basi tayari wewe ume-qualify with flying colours kuwa handsome.
Hata URAI kuna Wakuzaliwa na wa Kupewa.
Na u handsome pia hivyo hivyo. Kuna Wakuzaliwa na waku-acquire.. Definitely, it is something that one can acquire as well.😂
Kuwa handsome maana yake kuvutia wachuchu, ukiwa nazo pesa na bills zako unalipa na unabaki na akiba basi automatically unakuwa handsome as long as huvuki miaka 55.
😂😂😂😂 Natania tu siko serious.
 
pesa inakufanya uwe handsome kama ukitaka lakini. Ukipangilia nguo (fashion) na unajituma (mapato) basis tayari wee handsome.
Hata URAI huko kuna Wakuzaliwa na wa Kupewa.
Na u handsome pia hivyo hivyo. it is something can acquire vile vile 😂😂😂😂
Kuwa handsome maana yake kuvutia wachuchu, ukiwa nazo na bills zako unalipa na unabaki na akiba basi automatically unakuwa handsome as long as huvuki miaka 50.

😂😂😂😂 Natania tu siko serious.

Dr Remmy Ongala vipi!
 
Dr Remmy Ongala vipi!
Jamaa alioa mzungu eti [emoji3][emoji3][emoji3]

Wazungu kwao kupenda ni zaidi ya muonekano wa nje wa mtu!
kuoa sio lazma uwe handsome kivile, ndoa ni makubaliano.
Na kila mtu ana aina yake ya watu wanaomvutia. Tunatofautiana. Uzuri wa mtu upo machoni pa mtu.
Lakini kuna vingine vinakuwa ni vizuri karibu kwa kila mtu lakini sio watu wote. Watu tunatofautiana!
 
Wanapenda mashine au


Sijafahamu vizuri isipokuwa nazani kumpenda mtu kwa dhati hakupaswi kuzingatia muonekano wa nje wa mtu pekee au pesa au mashine pekee, inapaswa kuzingatia mambo kadha wa kadha matharani;
- moyo safi (asiye na hasira kali, asiye na mkono, mwenye huruma, mwenye subira, mvumilivu, asiye husudu, asiyehesabu mabaya, mwaminifu , mwenye utulivu, mwenye kujua kuitunza familia , mchaji Mungu, n.k

- mwenye kujua kuwajibika ktk kutunza familia Yani mke, watoto, wazazi , kutoa sadaka kanisani au msikitini, kama shiriki maswala ya jamii n.k

- mwenye maono

- Mtulivu Yani asiyechepuka kabisa!

- mwenye kujifunza na kuishi na mke kwa akili

N.k

Naweza andika kitabu!
 
Sijafahamu vizuri isipokuwa nazani kumpenda mtu kwa that hakupaswi kuzingatia muonekano wa nje wa mtu pekee au pesa au mashine pekee, inapaswa kuzingatia mambo kadha wa kadha matharani;
- moyo safi (asiye na hasira kali, asiye na mkono, mwenye huruma, mwenye subira, mvumilivu, asiye husudu, asiyehesabu mabaya, mwaminifu , mwenye utulivu, mwenye kujua kuitunza familia , mchaji Mungu, n.k

- mwenye kujua kuwajibika ktk kutunza familia Yani mke, watoto, wazazi , kutoa sadaka kanisani au msikitini, kama shiriki maswala ya jamii n.k

- mwenye maono

- Mtulivu Yani asiyechapuka kabisa!

N.k

Naweza andika kitabu!
I couldn't agree more 🙌🏾🔥🔥🔥
 
Inaonekana bado jank Sana....Sasa mm feelings hii ndo napenda..yaan unashikwa kiganja unahisi anakuumiza..kumbe kakushika kawaidaaa[emoji3][emoji3]! Yaishe mkuu mie natania tu..napenda walamba lips Kama we[emoji1732][emoji126]
Teh.....walamba lips
 
Back
Top Bottom