PostGE2025 Najiuliza, baada ya muda wake kuisha, Samia ataenda wapi?

PostGE2025 Najiuliza, baada ya muda wake kuisha, Samia ataenda wapi?

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
IQ ndogo, huwezi kuwaambia wazungu wanaotawala hii Dunia ati " Who are you" hawatakuacha salama.

Hata Mrusi, Mchina na Mkorea hawezi kukubaliana ujinga na ww kuzika watu majeruhi ati wakafie shimoni kupoteza ushahidi.
Kagame mwenyewe ni katili ila kakukataa.

Your days are numbered...
 
Maana kama ataendelea kuishi Zanzibar I'm 100% atakua targeted.

Samia kwa maumivu aliyowasababishia watanganyika hata kama atakua ametoka Madarakan watakua bado wanamsaka.
Achana na Rais Samia wapi atakwenda. Mi nawashangaa sana vijana wa GEN Z, eti Rais aache kuwaletea maendeleo watanzania milioni 60, kisa Eti atapelekwa ICC.
Tanzania itajikomboa wakati ambapo Rais anafanya kazi yake na baada ya kumaliza anakwenda huko huko ICC kuwasalimia. Lazima tupate mashujaa kama Rais Samia, ndipo tutachomoka. Haw wakoloni wa ICC wapo kwa ajili ya Ulaya tu, Maslahi ya ulaya.
 
Maana kama ataendelea kuishi Zanzibar I'm 100% atakua targeted.

Samia kwa maumivu aliyowasababishia watanganyika hata kama atakua ametoka Madarakan watakua bado wanamsaka.
hakuna unachoweza kumfanya because anakua ex president, anakua bado chini ya ulinzi mpaka anaondoka duniani, lakini pia usijikuze sana ukaona kama kila mtu yuk chini yako, watu wapo kimya mda wakiamua kuongea itakua too late kwako
 
Back
Top Bottom