PostGE2025 Najiuliza, baada ya muda wake kuisha, Samia ataenda wapi?

PostGE2025 Najiuliza, baada ya muda wake kuisha, Samia ataenda wapi?

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Lazima afikishwe ICC haki itimie damu za wasio na hatia zinamlilia
Nielewe twende pamoja. Kama wewe ICC NDIO inakunyima usingizi basi si kila mtu yupo hivyo.
Rais Samia miaka 5 anaipiga na ICC anakwenda. Kama wewe ni mwoga wa ICC, USIGOMBEE NAFASI KUBWA KAMA HIYO YA URAIS. Umenielewa!!!!
 
IQ ndogo, huwezi kuwaambia wazungu wanaotawala hii Dunia ati " Who are you" hawatakuacha salama.

Hata Mrusi, Mchina na Mkorea hawezi kukubaliana ujinga na ww kuzika watu majeruhi ati wakafie shimoni kupoteza ushahidi.
Kagame mwenyewe ni katili ila kakukataa.

Your days are numbered...
Who are you?😂😂😂
 
IQ ndogo, huwezi kuwaambia wazungu wanaotawala hii Dunia ati " Who are you" hawatakuacha salama.

Hata Mrusi, Mchina na Mkorea hawezi kukubaliana ujinga na ww kuzika watu majeruhi ati wakafie shimoni kupoteza ushahidi.
Kagame mwenyewe ni katili ila kakukataa.

Your days are numbered...
Kusema, who are you?... Kuwaambia wazungu, mnadhani nyie ni masters wetu...ni hivyo vihela vichache mnavyotupa...

Hapo Samia ndipo alipojimaliza, wazungu watamtafuta kila angle mpaka wamdake. Baada ya kuua kwa usalama wake angeendelea na blah blah tu sasa yeye akili ndogo amejichanganya.
 
Back
Top Bottom