Najiskia vibaya Watanzania tukidhauriliwa/kusemwa vibaya

Habari zenu,

Mimi kama Mtanzania mwenye upendo juu ya nchi yangu huwa najiskia vibaya tukisemwa vibaya haswa na Wakenya au raia wa nchi zingine. Najua tuna changamoto zetu kama poor customer services, umeme, uchumi wetu mdogo, na ndo fimbo wanayotumia kutudharau.

Jana jioni wakati tunapata dinner, nilikua na mkenya mdada, na watu wengine kutokea Sudan kusini na Rwanda. Jamani huyo mkenya akaanza kutukandia watanzania ooohh our cities are dirty, watanzania sijui hawajielewi, mara akienda saloon wadada wana gossip( na girls gossip everywhere) Akahamia kwa wadada wa Tanzania sijui tuna fake love. Tunajifanya kupenda mtu kwa kujifanya( actually hii ni hulka ya mtu na wanawake wengi wako hivi ambao pia si Tanzanians. )

Wakatukandia weee, baadae uzalendo ukanishinda nikawambia atleast sisi wakarimu compared to nyie Kenyans. Acha anze kusema bora wao na kwamba ukarimu wetu ni wa kufake. ( Jamani kweli Watanzania tunafake ukarimu toka lini?)

Baadae, ilibidi niseme no more negative stories about my country. Kama vipi siyo lazima kuishi hapa na kuna nchi kibao duniani za kuishi.

Kiukweli, nahisi kuwachukia moyoni.
Ni kweli ni maneno ya kuchukiziwa. Lakini hata ww umechukizwa kwa kukosa hoja ya majivuno ya uzalendo.. Sisi kama taifa la watu wa tanzania tumebarikiwa mengi na mungu ... " Uhuru wetu- Muungano wetu - Uvumilivu wetu. Ndani ya bara la Afrika Wa Tanzania wapo vizuri kwa kupewa kipaji kikubwa na mungu.
" Tunajivunia na kipaji chetu cha UVUMILIVU". Tunavumiliana kisiasa - Tunavumiliana na utafauti wetu wa dini zetu - Na Tunavumiliana na uingiliaji wa makabila yetu...
Nadhani wenzetu majirani hawana huu uvumilivu... Tujikubali na tujivunie kwa hili... Na huu ndio Ubinadamu
 
Siku rais wenu alikua anatukandia ati hatuna dola na wawekezaji wamefunganya virago wamehamia huko kwenu wewe unadhani tulikua tunaskia vizuri?
Nyinyi pia mkue muwache kujifanya victims, mkomae.
 
Wakenya watasumbua wale ambao hawajawahi kuishi huko. Wanajitekenya na kujichekea.. Hali yao mbaya just as any African state. Hawachekani na Tanzania. In fact bila chenga tumewapita mengi kuliko waliyotupia sisi. Ila bado wana zile old swags za wazazi wao na mpaka sasa wamekariri kuwa wametupita.
 
Habari zenu,

Mimi kama Mtanzania mwenye upendo juu ya nchi yangu huwa najiskia vibaya tukisemwa vibaya haswa na Wakenya au raia wa nchi zingine. Najua tuna changamoto zetu kama poor customer services, umeme, uchumi wetu mdogo, na ndo fimbo wanayotumia kutudharau.

Jana jioni wakati tunapata dinner, nilikua na mkenya mdada, na watu wengine kutokea Sudan kusini na Rwanda. Jamani huyo mkenya akaanza kutukandia watanzania ooohh our cities are dirty, watanzania sijui hawajielewi, mara akienda saloon wadada wana gossip( na girls gossip everywhere) Akahamia kwa wadada wa Tanzania sijui tuna fake love. Tunajifanya kupenda mtu kwa kujifanya( actually hii ni hulka ya mtu na wanawake wengi wako hivi ambao pia si Tanzanians. )

Wakatukandia weee, baadae uzalendo ukanishinda nikawambia atleast sisi wakarimu compared to nyie Kenyans. Acha anze kusema bora wao na kwamba ukarimu wetu ni wa kufake. ( Jamani kweli Watanzania tunafake ukarimu toka lini?)

Baadae, ilibidi niseme no more negative stories about my country. Kama vipi siyo lazima kuishi hapa na kuna nchi kibao duniani za kuishi.

Kiukweli, nahisi kuwachukia moyoni.
Hao wakenya unaowasema kwa maisha ya raia tumewazidi mbali tu,wawe wanawadanganya wasiokujua Kenya na maisha ya Kenya,halafu na hao wa Sudan na Rwanda hawana lolote.
 
Itakua tu sio muongeaji ila wakenya ukienda nae Point kwa point unawaacha mbali sana..Kwanza ukabila kwao haujawahi kuisha(Kikuyu vs Jaruo Vs Somalia)..Pili kuhusu uchafu wa mji wao ndo wanaongoza tena uswazi ya Kenya ni balaa zile Slums zao ni mabati tupu.Mji mzuri ni Nairobi,Kusumu ukienda Eldoret ni majanga...Kiukweli wanachoringia ni kinge tu na thamani ya ksh mengine yote tupo sawa
Hiyo thaman ya pesa yao haina faida yoyote dhidi yetu,angalia maisha ya mtanzania wa kawaida au wengi halafu fananisha na maisha ya wakenya,wakenya ni watu wakujisifia sana ila kwenye maisha na utajiri wa raia tunawaacha mbali
 
Nimekaa na wakenya nimesoma nao sana ,hao jamaa acha sijui wanafundishwa nn pale kwao kuhusu watz.

Jamaa linapokuja suala la ubaguzi sijui nn kinawapa uhalali wa kubagua watz ,basi nilikuwa nafirikia ni watu baki nje ya Tz ila ndani ya nchi yao kuna ubaguzi wa wazi yaani viongozi wanafanya ubaguzi kama ukifanywa Tz basi ingekuwa maandamano makubwa sana.

Uhalisia licha ya kukaa sana na watu wa kenya kufika kenya ,sijawahi kuipenda hiyo nchi yao na watu wake kwa ujumla ,mtu anaeleza stori kuhusu mtu fulani ila kenya ataanza na kabila la mtu .
 
Hao wakenya unaowasema kwa maisha ya raia tumewazidi mbali tu,wawe wanawadanganya wasiokujua Kenya na maisha ya Kenya,halafu na hao wa Sudan na Rwanda hawana lolote.
Tumekaa na mkenya ndio mara ya kwaza kuona mtu wa hovyo ,anakula ugali na chumvi yaani wako rafu
 
Niliwatajia pia mbona mabaya yao. Walikua wanne against me. Wakaanza kupaza sauti. Arrrggg nikakereka nikakaa kimya.
Kama unawajua wakenya wala hawakupi shida ,jamii ya hovyo kwa sababu wamechukua mfumo wa kibepari wa kuweka mali mbele.

Wakenya wanaishi kweny simanzi ndio maana watu wa hasiria ,kule kwao kumilili ardhi ni kipengele wapo kupata unafuu wa maisha ,wakenya hapo free kupata huduma kila kaunti zao kwa sababu ya ukabila licha ya wengi kuwa wakristo ila wanabaguana hapa kweny kupata huduma ,ajira.

Wakenya ndio watu wanapiga kura kwa kuangalia kabila la kiongozi .

Wakenya wanapata unafuu wa kuishi vizuri katika mipaka na Tanzania ila kule somalia wanakutana na watu ambao hawapendi ujinga kutwa wanauliwa huku Tz wanaishi fresh haswa mikao kuanzia Kilimanjaro ,Arusha na Tanga.
 
Yote ni kweli yote ni kweli hakuna mtu ambaye ni hatari afrika nzima kama watanzania .
1. Wanafake kila kitu sio wakaribu ni zimwi likukulalo na halikumalizi ni mamchwa .
Mtu unaishi nao unakula nao ukipata shida sasa hadi yule mpenzi wako kakimbia . Kwisha .

2. Ukitaka kujua huyu mkenya she or he is right fanya kimoja . Fulia kama hujikuti majalalani. Maisha tunayoyaishi humkuti mkenya anayo . Mkenya hana roho mbaya na zakwanini anaenda straight forward.

Maisha yawatanzania unaishi kwa imani ila wanafiki hata ndugu
 
Ndio. Tulikua Nears hapa Arusha
Wana wivu...
Ungewaambia mbona wao Wana ukabila.....Hadi wanauwana kwenye uchaguzi...
Halafu wao Wana slums kubwa kuliko zote afrika...mathare slums na kibera... Google that....

Ungewambia hata kama hatuna umeme at least hatuna slums kama mathare na kibera....worst slums in Africa and possibly the world...kuna mengi Sana ya kuwaponda wakenya..
Wanawake wao Wengi ugly na hawajui kuvaa.....

Halafu wanapenda kubababikia wazungu...wakiona mzungu kama wamemuona Mungu...next time ukiwa nao ni pm ili nikupe hoja za kuwaponda Hadi wakae chini
 
Wana wivu...
Ungewaambia mbona wao Wana ukabila.....Hadi wanauwana kwenye uchaguzi...
Halafu wao Wana slums kubwa kuliko zote afrika...mathare slums na kibera... Google that....

Ungewambia hata kama hatuna umeme at least hatuna slums kama mathare na kibera....worst slums in Africa and possibly the world...kuna mengi Sana ya kuwaponda wakenya..
Wanawake wao Wengi ugly na hawajui kuvaa.....

Halafu wanapenda kubababikia wazungu...wakiona mzungu kama wamemuona Mungu...next time ukiwa nao ni pm ili nikupe hoja za kuwaponda Hadi wakae chini
Thank you mkuu.

Nimejifunza kitu. Sema mimi sipendi mambo ya kubishana bishana na wajuaji
 
Yote ni kweli yote ni kweli hakuna mtu ambaye ni hatari afrika nzima kama watanzania .
1. Wanafake kila kitu sio wakaribu ni zimwi likukulalo na halikumalizi ni mamchwa .
Mtu unaishi nao unakula nao ukipata shida sasa hadi yule mpenzi wako kakimbia . Kwisha .

2. Ukitaka kujua huyu mkenya she or he is right fanya kimoja . Fulia kama hujikuti majalalani. Maisha tunayoyaishi humkuti mkenya anayo . Mkenya hana roho mbaya na zakwanini anaenda straight forward.

Maisha yawatanzania unaishi kwa imani ila wanafiki hata ndugu
Kwani Kenyans ndo hakuna wanafiki?

Tena kule kulivyo na capitalism, hakuna anayekujali. Bora Tanzanians tunasaidianana bwana. Tuna kale ka socialism .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom