Najiskia vibaya Watanzania tukidhauriliwa/kusemwa vibaya

Habari zenu,

Mimi kama Mtanzania mwenye upendo juu ya nchi yangu huwa najiskia vibaya tukisemwa vibaya haswa na Wakenya au raia wa nchi zingine. Najua tuna changamoto zetu kama poor customer services, umeme, uchumi wetu mdogo, na ndo fimbo wanayotumia kutudharau.

Jana jioni wakati tunapata dinner, nilikua na mkenya mdada, na watu wengine kutokea Sudan kusini na Rwanda. Jamani huyo mkenya akaanza kutukandia watanzania ooohh our cities are dirty, watanzania sijui hawajielewi, mara akienda saloon wadada wana gossip( na girls gossip everywhere) Akahamia kwa wadada wa Tanzania sijui tuna fake love. Tunajifanya kupenda mtu kwa kujifanya( actually hii ni hulka ya mtu na wanawake wengi wako hivi ambao pia si Tanzanians. )

Wakatukandia weee, baadae uzalendo ukanishinda nikawambia atleast sisi wakarimu compared to nyie Kenyans. Acha anze kusema bora wao na kwamba ukarimu wetu ni wa kufake. ( Jamani kweli Watanzania tunafake ukarimu toka lini?)

Baadae, ilibidi niseme no more negative stories about my country. Kama vipi siyo lazima kuishi hapa na kuna nchi kibao duniani za kuishi.

Kiukweli, nahisi kuwachukia moyoni.
Kwaiyo uliumia sana kukandiwa na huyo Mkenya na Ukaumia sana Roho sio?
 
Usikonde kabisa.

Your mental health is worth much more than taking abuse from rude Kenyans.

Akizoea niite huko nije kumfundisha adabu. Mara nyingine huwa napenda ugomvi kuliko kula
.

Sitaki hata kuonana nao tena.
 
Habari zenu,

Mimi kama Mtanzania mwenye upendo juu ya nchi yangu huwa najiskia vibaya tukisemwa vibaya haswa na Wakenya au raia wa nchi zingine. Najua tuna changamoto zetu kama poor customer services, umeme, uchumi wetu mdogo, na ndo fimbo wanayotumia kutudharau.

Jana jioni wakati tunapata dinner, nilikua na mkenya mdada, na watu wengine kutokea Sudan kusini na Rwanda. Jamani huyo mkenya akaanza kutukandia watanzania ooohh our cities are dirty, watanzania sijui hawajielewi, mara akienda saloon wadada wana gossip( na girls gossip everywhere) Akahamia kwa wadada wa Tanzania sijui tuna fake love. Tunajifanya kupenda mtu kwa kujifanya( actually hii ni hulka ya mtu na wanawake wengi wako hivi ambao pia si Tanzanians. )

Wakatukandia weee, baadae uzalendo ukanishinda nikawambia atleast sisi wakarimu compared to nyie Kenyans. Acha anze kusema bora wao na kwamba ukarimu wetu ni wa kufake. ( Jamani kweli Watanzania tunafake ukarimu toka lini?)

Baadae, ilibidi niseme no more negative stories about my country. Kama vipi siyo lazima kuishi hapa na kuna nchi kibao duniani za kuishi.

Kiukweli, nahisi kuwachukia moyoni.
Ungemwambia neno moja tu HAMA hao wakenya wana inferiority complex juu yetu maana wanajua kabisa competitor wao ukanda huu ni Tanzania ni kama mapacha au ndugu wanaofatana...
 
Habari zenu,

Mimi kama Mtanzania mwenye upendo juu ya nchi yangu huwa najiskia vibaya tukisemwa vibaya haswa na Wakenya au raia wa nchi zingine. Najua tuna changamoto zetu kama poor customer services, umeme, uchumi wetu mdogo, na ndo fimbo wanayotumia kutudharau.

Jana jioni wakati tunapata dinner, nilikua na mkenya mdada, na watu wengine kutokea Sudan kusini na Rwanda. Jamani huyo mkenya akaanza kutukandia watanzania ooohh our cities are dirty, watanzania sijui hawajielewi, mara akienda saloon wadada wana gossip( na girls gossip everywhere) Akahamia kwa wadada wa Tanzania sijui tuna fake love. Tunajifanya kupenda mtu kwa kujifanya( actually hii ni hulka ya mtu na wanawake wengi wako hivi ambao pia si Tanzanians. )

Wakatukandia weee, baadae uzalendo ukanishinda nikawambia atleast sisi wakarimu compared to nyie Kenyans. Acha anze kusema bora wao na kwamba ukarimu wetu ni wa kufake. ( Jamani kweli Watanzania tunafake ukarimu toka lini?)

Baadae, ilibidi niseme no more negative stories about my country. Kama vipi siyo lazima kuishi hapa na kuna nchi kibao duniani za kuishi.

Kiukweli, nahisi kuwachukia moyoni.
Na ukashindwa kutaja mabaya Yao ?
 
Ungemwambia neno moja tu HAMA hao wakenya wana inferiority complex juu yetu maana wanajua kabisa competitor wao ukanda huu ni Tanzania ni kama mapacha au ndugu wanaofatana...
Mwishoni niliwaambia sitaki muongelee nchi yangu tena.
 
wew jamaa mbeya Gani ambayo ni chafu umekaa mbeya ipiii hiyo mbeya ya Mbalizi,mama john, Meta, Sangu,Nane mwanjelewa ,sokomatola ,Mbeya sio chafu mzee mim sio mwenyeji wa Mbeya nimeishi kule takribani miaka sita Kwa Mbeya nakupinga apo umepuyanga

Soweto sijui Mama John huko nyuma kunakounga Sae na Block T, Mabatini, Simike, Kabwe, Uyole, Ilomba hadi unapandisha kule juu maeneo mapya, huko Mbalizi ulipopataja sio Mbeya hiyo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom