United ya Ferguson
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 2,879
- 5,698
ungemkumbusha vita vya kikabila mwaka 2007
Nakuja nionemwambie aje kule atukute tunavyoipambania nchi na kina ichoboy01
Unafki , kufatiliana , kufurahia wenzako anapoanguka kwenye jambo fulani hizi tabia tumeambukizana kwa kiasi kikubwa ,mpka ukiwa tofauti ,bize na mambo yako unaonekana una madharau na maringo.Na ndio sababu hapo juu nikasema sifa yetu kuu watanzania ni UNAFIKI sababu ya wanasiasa
karibu njoo kule mpaka wamekimbia mada sasa wanakuja kwa kuchunguliaNakuja nione
Kwaiyo uliumia sana kukandiwa na huyo Mkenya na Ukaumia sana Roho sio?Habari zenu,
Mimi kama Mtanzania mwenye upendo juu ya nchi yangu huwa najiskia vibaya tukisemwa vibaya haswa na Wakenya au raia wa nchi zingine. Najua tuna changamoto zetu kama poor customer services, umeme, uchumi wetu mdogo, na ndo fimbo wanayotumia kutudharau.
Jana jioni wakati tunapata dinner, nilikua na mkenya mdada, na watu wengine kutokea Sudan kusini na Rwanda. Jamani huyo mkenya akaanza kutukandia watanzania ooohh our cities are dirty, watanzania sijui hawajielewi, mara akienda saloon wadada wana gossip( na girls gossip everywhere) Akahamia kwa wadada wa Tanzania sijui tuna fake love. Tunajifanya kupenda mtu kwa kujifanya( actually hii ni hulka ya mtu na wanawake wengi wako hivi ambao pia si Tanzanians. )
Wakatukandia weee, baadae uzalendo ukanishinda nikawambia atleast sisi wakarimu compared to nyie Kenyans. Acha anze kusema bora wao na kwamba ukarimu wetu ni wa kufake. ( Jamani kweli Watanzania tunafake ukarimu toka lini?)
Baadae, ilibidi niseme no more negative stories about my country. Kama vipi siyo lazima kuishi hapa na kuna nchi kibao duniani za kuishi.
Kiukweli, nahisi kuwachukia moyoni.
Usikonde kabisa.Thank you mkuu kwa maoni yako. Walau I feel better.
.Usikonde kabisa.
Your mental health is worth much more than taking abuse from rude Kenyans.
Akizoea niite huko nije kumfundisha adabu. Mara nyingine huwa napenda ugomvi kuliko kula
Roho yangu imeniuma ndio wanavyotudharau.Kwaiyo uliumia sana kukandiwa na huyo Mkenya na Ukaumia sana Roho sio?
Sawa mkuuTembelea uzi wa Kenya Vs Tanzania
Au Nairobi Vs Dar ...au mtafute Geza Ulole akupe ukweli kuhusu Kenya ..
Tumewazidi vingi Sana Wana chuki Tu na wivu..
Uchafu wao ni zaidi...
Wizi wao ni zaidi...
Ungemwambia neno moja tu HAMA hao wakenya wana inferiority complex juu yetu maana wanajua kabisa competitor wao ukanda huu ni Tanzania ni kama mapacha au ndugu wanaofatana...Habari zenu,
Mimi kama Mtanzania mwenye upendo juu ya nchi yangu huwa najiskia vibaya tukisemwa vibaya haswa na Wakenya au raia wa nchi zingine. Najua tuna changamoto zetu kama poor customer services, umeme, uchumi wetu mdogo, na ndo fimbo wanayotumia kutudharau.
Jana jioni wakati tunapata dinner, nilikua na mkenya mdada, na watu wengine kutokea Sudan kusini na Rwanda. Jamani huyo mkenya akaanza kutukandia watanzania ooohh our cities are dirty, watanzania sijui hawajielewi, mara akienda saloon wadada wana gossip( na girls gossip everywhere) Akahamia kwa wadada wa Tanzania sijui tuna fake love. Tunajifanya kupenda mtu kwa kujifanya( actually hii ni hulka ya mtu na wanawake wengi wako hivi ambao pia si Tanzanians. )
Wakatukandia weee, baadae uzalendo ukanishinda nikawambia atleast sisi wakarimu compared to nyie Kenyans. Acha anze kusema bora wao na kwamba ukarimu wetu ni wa kufake. ( Jamani kweli Watanzania tunafake ukarimu toka lini?)
Baadae, ilibidi niseme no more negative stories about my country. Kama vipi siyo lazima kuishi hapa na kuna nchi kibao duniani za kuishi.
Kiukweli, nahisi kuwachukia moyoni.
Na ukashindwa kutaja mabaya Yao ?Habari zenu,
Mimi kama Mtanzania mwenye upendo juu ya nchi yangu huwa najiskia vibaya tukisemwa vibaya haswa na Wakenya au raia wa nchi zingine. Najua tuna changamoto zetu kama poor customer services, umeme, uchumi wetu mdogo, na ndo fimbo wanayotumia kutudharau.
Jana jioni wakati tunapata dinner, nilikua na mkenya mdada, na watu wengine kutokea Sudan kusini na Rwanda. Jamani huyo mkenya akaanza kutukandia watanzania ooohh our cities are dirty, watanzania sijui hawajielewi, mara akienda saloon wadada wana gossip( na girls gossip everywhere) Akahamia kwa wadada wa Tanzania sijui tuna fake love. Tunajifanya kupenda mtu kwa kujifanya( actually hii ni hulka ya mtu na wanawake wengi wako hivi ambao pia si Tanzanians. )
Wakatukandia weee, baadae uzalendo ukanishinda nikawambia atleast sisi wakarimu compared to nyie Kenyans. Acha anze kusema bora wao na kwamba ukarimu wetu ni wa kufake. ( Jamani kweli Watanzania tunafake ukarimu toka lini?)
Baadae, ilibidi niseme no more negative stories about my country. Kama vipi siyo lazima kuishi hapa na kuna nchi kibao duniani za kuishi.
Kiukweli, nahisi kuwachukia moyoni.
Mlikuwa wapi kwani?hapa hapa Tz?Sawa mkuu
Mwishoni niliwaambia sitaki muongelee nchi yangu tena.Ungemwambia neno moja tu HAMA hao wakenya wana inferiority complex juu yetu maana wanajua kabisa competitor wao ukanda huu ni Tanzania ni kama mapacha au ndugu wanaofatana...
wew jamaa mbeya Gani ambayo ni chafu umekaa mbeya ipiii hiyo mbeya ya Mbalizi,mama john, Meta, Sangu,Nane mwanjelewa ,sokomatola ,Mbeya sio chafu mzee mim sio mwenyeji wa Mbeya nimeishi kule takribani miaka sita Kwa Mbeya nakupinga apo umepuyanga
Niliwatajia pia mbona mabaya yao. Walikua wanne against me. Wakaanza kupaza sauti. Arrrggg nikakereka nikakaa kimya.Na ukashindwa kutaja mabaya Yao ?
Ndio. Tulikua Nears hapa ArushaMlikuwa wapi kwani?hapa hapa Tz?