Hatukuja na kitu duniani wala hatutoki na kitu ila roho iliyopondeka utakwenda nayo
Uje ndani ya Yesu.. Tua mizigo (ya dhambi)safari imekwisha wadia(kifo)
Neno hili likawe manukato na kufanyika baraka kwa wale wote watakaolisoma1 The 4:13-18
Lakini, ndugu, hatutaki msijue habari zao waliolala mauti, msije mkahuzunika kama na wengine wasio na matumaini. Maana, ikiwa twaamini ya kwamba Yesu alikufa akafufuka, vivyo hivyo na hao waliolala katika Yesu, Mungu atawaleta pamoja naye. Kwa kuwa twawaambieni haya kwa neno la Bwana, kwamba sisi tulio hai, tutakaosalia hata wakati wa kuja kwake Bwana, hakika hatutawatangulia wao waliokwisha kulala mauti.
Hakika yote ni ubatili mtupu.. Yote yaliyo chini ya juaUkitafakari sana, unaona tunafukuzana au kuhangaika na vitu ambavyo havina msingi kabisa maishani. Ubatili mtupu.
Mioyo iliyopondeka iliyojaa unyeyekevu na kuwathamini wengine imeadimika sana.
Hakika yote ni ubatili mtupu.. Yote yaliyo chini ya jua
Mungu ni mwema wakati wote.. Alisema natazama NENO langu halitaenda bure...!
Fanya kesho tuwasiliane
Ndoto ya kwanza kuna mambo yako pending..ukiyakamilisha hiyo ndoto itakataNiaje kaka???
Natumaini u mzima wa afya njema,mkuu mimi huwa nasumbuliwa sana na ndoto moja hivi.Mara nyingi ninaota niko shule nasoma secondary wakati nimemaliza muda tu
Nyingine mara nyingi ninaota niko Marekani ila hiyo sehemu nilifikia ni watu weusi afu tunaishi kwa kujificha tunaogopa kukamatwa,nashindwa kuelewa maana ya ndoto hizi maana naziota mara kwa mara.
Duh, kuna watu makatiliNiki nacho ni kifo tayari japo kinatisha! Kuwa na mwisho mbaya kama huu.. Wengine wanafurahia dakika zako za mwisho
mrangi View attachment 1890155
Mob justice.....