Hata uwe na jeuri kiasi gani, au dharau na uonevu lakini Mwisho wa siku Jeuri ya binaadamu inamalizwa na KIFO.
Kwa hakika mwisho wa Jeuri ya binaadamu ni KIFO.
ushauri wangu kwa binaadamu amabo bado tupo hai, tuache jeuri, kiburi na kuwanyanyasa binadaamu wenzako. tutendeane mema.
Kifo ndio mwisho wa Jeuri ya binaadamu.
Kwa hakika mwisho wa Jeuri ya binaadamu ni KIFO.
ushauri wangu kwa binaadamu amabo bado tupo hai, tuache jeuri, kiburi na kuwanyanyasa binadaamu wenzako. tutendeane mema.
Kifo ndio mwisho wa Jeuri ya binaadamu.