kasema kabla hajaingia kwenye kuomba mkopo. mfumo unamtaka alipe elf 30,000 kupitia control number wanayoitoa. sasa baada ya kulipia anajaribu kulog in lakini mfumo hufunguki
Sio kweli labda kama wame update kwa 2025/2026kasema kabla hajaingia kwenye kuomba mkopo. mfumo unamtaka alipe elf 30,000 kupitia control number wanayoitoa. sasa baada ya kulipia anajaribu kulog in lakini mfumo hufunguki
Sasa hapo adi password ameshatengeneza? Kama kila kitu tayr awe nasubira tu itakuwa mtandao unasumbuaWadau habari ya jioni!
samahani kuna dogo aliomba ,mkopo mwaka jana alikosa. sasa anataka kuomba mkopo tena. lakini ameshalipia elfu 30 lakini akijaribu kulog in mfumo haufunguki. shida ni nini wadau?
Karibu kutumia kiungo kilichopo Kwa menu, hili jambo linanitokeaga pia, ila nilitumia icho kiungo nilichozungushia duara apo mambo ya kawaid swafiiiiiiiiWadau habari ya jioni!
samahani kuna dogo aliomba ,mkopo mwaka jana alikosa. sasa anataka kuomba mkopo tena. lakini ameshalipia elfu 30 lakini akijaribu kulog in mfumo haufunguki. shida ni nini wadau?