Naishi naye ndio, Lakini...

Naishi naye ndio, Lakini...

Dini bro dini bro hairuhus

Wabadilishe Tu sababu wote wanampenda bro maana huyo mmoja mpaka kamsamehe yeye kupata mtoto na mwanamke mwingine, na huyo mwanamke mwenye mtoto nae anampenda pia waishi pamoja

Kuna kisa cha Professor mats-son kinafanana na jamaa awaulize kama wako radhi waishi watatu Fresh Tu
 
" nilikutana na mwanamke fulani ghafla tu"

"Hasira ikayeyuka na kwa mara nyingine akalala nami"

"Baada ya kula uzazi kwa miezi sita, alirudi nyumbani, na ile hofu yangu juu ya mazingira ya kwao [sina haja ya kuuelezea sana ugumu wake]"

"nna mchumba ambaye tuna malengo makubwa"

"sikuwahi kuwa na hisia na mwanamke huyu"

Nia ya huu uzi ni kututafutia wengine ban tu! Tunaotaka kuporomosha mitusi tunakomenti wapi jameni
Kunywa maji kwanza mkubwa wetu
 
Nasema Hivi!!, kama huyo mwanamke umeishi nae kwa Amani kipindi choke hicho Basi ni kheri ufunge na ndoa huyo huyo. Usidanganyike na hisia ambazo kwa sasa zinakufanya umuone huyo mwanamke si chochote kwako. Ndugu yangu najua fika ya kwamba unampenda sana huyo mchumba wako ila Tambua Ndoa zote zinazo vunjika hata wao pia mwanzo walipendana kama mupendanavyo nyinyi muda huu. Ila baada ya ndoa mambo yaliwabadilikia hadi wakafikia hatua ya kuachana kitu ambacho hata wewe pia kinaweza kutokea kwenye ndoa yenu kama ukimuoa huyo mchumba wako. Najua humpendi huyo mama wa mtoto wako ila uzuri ni kwamba yeye anakupenda kitu ambacho tulio wengi tunakitafuta miaka nenda rudi. Thamini hisia za mzazi mwenzio yawezekana huyo ndie mke mwema uliepewa na mungu ukimtupa utajilaumu baadae.
#Siku Zote Heri Upendwe Kuliko Kupenda utajuta.
 
Trust me huyu uliyenae na aliyekuzalia Mtoto ndio wa kumuoa. Sa jichanganye uoe huyo unaemuita mchumba wako utakuja juta milele. Kwa ushahidi snapshot hii then utaja kumbuka
 
Mkuu.

Pigaua garagaza, jitahidi sana, fanya unavyoweza. Endelea na huyu mwenye mtoto.

Kosa la kiufundi tushafanya hapa kukubali kupata mtoto wakati humkubali.

All the best.
 
Haha usiseme hakuna. Mi mbona naweza kusamehe.
Inategemeana na mazingira ama kuna kitu umelenga,ni ngumu mchumba wako utambue kuwa ana mwanamke mwingine tena anaishi naye na mtoto juu alafu eti umsamehe huku bado wanagegedana!!!hakuna kitu kama hicho,,lazima atakuwa ana target yake
 
Ikiwa ni kweli haya usemayo, Mchukue huyu mwenye mtoto huyo ambaye bado hujamzalisha atachukuliwa tuu na mtu mwingine. Siku ukifanya haya maamuzi upendo juu yake utakuja. Hakuna uyakachokipata cha ziada kwa huyu ambaye hajawa na mtoto.
 
Back
Top Bottom