Naipenda simu yangu ya windows

Naipenda simu yangu ya windows

Nokia Lumia ni wazuri but camera zao bado hazitii mguu kwa iphones & sumsung

camera?? unekosa excuse ukaja na hii?? hahaha

technology ya nokia ya 2012 nokia 808 ni standard hadi leo hamna ambaye atleast kajaribu.

simu za nokia lumia za 2013 kama 1520 na 1020 hadi leo zinazipita flagship za kisasa za 2015

mfano lumia 930 imeipita galaxy s6 kwenye optical image stabilization licha ya kwamba ni simu yenye sensor ya 2013

Nokia Lumia 930 bested the Galaxy S6 edge's optical stabilization at its own game
 
Nokia Lumia ni wazuri but camera zao bado hazitii mguu kwa iphones & sumsung

Tafuta sababu nyingine ila sio camera. Kabla ya lumia camera 5, bado lumia (hasa high end) zilikuwa balaa. Fanya homework, angalia youtube na angalia comparison, kisha tafuta ubora na features za lumia camera 5. Hutaongea hii statement tena
 
mi nasubiria december tu mungu akijalia nione comeback ya nokia itakuaje. hizi simu mpya za microsoft zinavutia kwenye karatasi ila hazina tofauti na android ni specs specs specs tu hakuna innovation. mc laren wameicancel na tech nyingi za nokia sizioni. nataka kuwa suprised na innovation za maana kama alivyokuwa nokia na sio kuongeza quantity tu

Microsoft hawatoi mzigo wa ukweli mpaka windows 10 ikamilike. Vuta subira, hizi za sasa sio high-end, naamini kitu kinachokuja kitakuwa vizuri
 
Microsoft hawatoi mzigo wa ukweli mpaka windows 10 ikamilike. Vuta subira, hizi za sasa sio high-end, naamini kitu kinachokuja kitakuwa vizuri

my dream phone ni surface phone. simu itakayokuwa na uwezo wa kurun desktop app. sitajali hata ikiwa na ukubwa wa kioo 6 inch.

nataka nyumban niwe na monitor tu simu yangu nikiieka kwenye dock ndio inakuwa desktop.

nataka simu yenye true multitasking, nicheze game za ps2, gamecube psp na nintendo wii.

soc za cherrytrail zipo tayari kwa matumizi yote hayo juu nasubiri tu maamuzi ya ms.

wakiamua kukomaa na soc yao iliofeli ya sd810 ni wao wenyewe ila mimi nataka simu ya intel. wasipotoa simu ya intel nitatafuta tu tablet ya 8inch sababu kuna universal app nitaweza tumia app za wp kwenye tab yangu then nitaangalia nokia atatoa nini. jolla pia nawaangalia kwa undani maana sailfish naipenda pia japo simu yao ya kawaida
 
Kwaiyo brand ya nokia ndio haipo tena had mkataba na microsoft uishe?

ipo kwenye vifaa ambavyo havitumii line (2g,3g,4g), kuna tablet ya nokia isiotumia line inauzwa huko kwa wachina n1. december mwaka huu kifungo kinaisha
 
Mkuu hivi naweza tumia browser ipi ktk WP iwe ina perform kama mozilla fire fox , maana matokeo ya chuon kwetu yanawekwa online bila mozilla hayafunguki
 
my dream phone ni surface phone. simu itakayokuwa na uwezo wa kurun desktop app. sitajali hata ikiwa na ukubwa wa kioo 6 inch.

nataka nyumban niwe na monitor tu simu yangu nikiieka kwenye dock ndio inakuwa desktop.

nataka simu yenye true multitasking, nicheze game za ps2, gamecube psp na nintendo wii.

soc za cherrytrail zipo tayari kwa matumizi yote hayo juu nasubiri tu maamuzi ya ms.

wakiamua kukomaa na soc yao iliofeli ya sd810 ni wao wenyewe ila mimi nataka simu ya intel. wasipotoa simu ya intel nitatafuta tu tablet ya 8inch sababu kuna universal app nitaweza tumia app za wp kwenye tab yangu then nitaangalia nokia atatoa nini. jolla pia nawaangalia kwa undani maana sailfish naipenda pia japo simu yao ya kawaida

Pengine MS wanataka kufanya flagship ijayo iwe na uwezo mkubwa wa ku utilize vizuri features za windows 10. Universal apps ni uhakika, na hata ukicheki demo ya office app unaona jinsi gani MS wanajiaandaa. I hope hawatatuangusha. I was a fan of Nokia sidhani kama Microsoft watacomprise ubora, i still believe they are going to maintain the quality of NOKIA.
 
Mkuu hivi naweza tumia browser ipi ktk WP iwe ina perform kama mozilla fire fox , maana matokeo ya chuon kwetu yanawekwa online bila mozilla hayafunguki

tumia ucweb then nenda setting halafu swipe utaona browser preference (ua) click hapo.

anza kutest moja moja huku unavisit site ya matokeo
 
Vipi na hii LG E900
Inauwezo wa kufanya baadhi ya haya mambo?
Ila najuta nimeuza nyingine HTC Window8 kwa bei ya bure kbsa lass aisee nitaagiza nyingine
 
Microsoft hawatoi mzigo wa ukweli mpaka windows 10 ikamilike. Vuta subira, hizi za sasa sio high-end, naamini kitu kinachokuja kitakuwa vizuri

Mpaka sasa simu ya ukweli ambayo nokia waliitengeneza ni 1520 tu
 
Mpaka sasa simu ya ukweli ambayo nokia waliitengeneza ni 1520 tu

umetumia kigezo gani? labda ungesema nokia lumia kali ni 1520/ kuna simu kali za feature phone za symbian na java/
upande wangu lumia kali ni 1020 hiyo 1520 screen oversize
 
my dream phone ni surface phone. simu itakayokuwa na uwezo wa kurun desktop app. sitajali hata ikiwa na ukubwa wa kioo 6 inch.

nataka nyumban niwe na monitor tu simu yangu nikiieka kwenye dock ndio inakuwa desktop.

nataka simu yenye true multitasking, nicheze game za ps2, gamecube psp na nintendo wii.

soc za cherrytrail zipo tayari kwa matumizi yote hayo juu nasubiri tu maamuzi ya ms.

wakiamua kukomaa na soc yao iliofeli ya sd810 ni wao wenyewe ila mimi nataka simu ya intel. wasipotoa simu ya intel nitatafuta tu tablet ya 8inch sababu kuna universal app nitaweza tumia app za wp kwenye tab yangu then nitaangalia nokia atatoa nini. jolla pia nawaangalia kwa undani maana sailfish naipenda pia japo simu yao ya kawaida

Kanunua Sonyericsson uchuze game zote za play station ila unatakiwa uende labda South Africa coz nch zetu hz ambazo hazijielew system haisapot hyo huduma
Then sony simu zao unaweza uka connect na tv au pc na ikapiga mzigo bila hofu
Tatu hyo ndoyo yako ya mchana kuwe na mobile divice iwe na functions za pc sahau
 
Kanunua Sonyericsson uchuze game zote za play station ila unatakiwa uende labda South Africa coz nch zetu hz ambazo hazijielew system haisapot hyo huduma
Then sony simu zao unaweza uka connect na tv au pc na ikapiga mzigo bila hofu
Tatu hyo ndoyo yako ya mchana kuwe na mobile divice iwe na functions za pc sahau

1.hakuna simu zinazoitwa sonyerricson siku hizi, hio ndoa ilivunjika kuna sony 2

2. mbona kila simu inaconect na pc na tv kwani lazima sony?

3. kinachofanya simu iwe na function za pc ni processor, intel washatoa processor ya simu ya x86 yenye uwezo wa kurun full windows, soon simu zenye full windows zitatoka just sina uhakika kama ms atatoa au hatatoa
 
1.hakuna simu zinazoitwa sonyerricson siku hizi, hio ndoa ilivunjika kuna sony 2

2. mbona kila simu inaconect na pc na tv kwani lazima sony?

3. kinachofanya simu iwe na function za pc ni processor, intel washatoa processor ya simu ya x86 yenye uwezo wa kurun full windows, soon simu zenye full windows zitatoka just sina uhakika kama ms atatoa au hatatoa

Eti hakuna Sonyericsson hahahahahahaha daah kazi ipo
 
umetumia kigezo gani? labda ungesema nokia lumia kali ni 1520/ kuna simu kali za feature phone za symbian na java/
upande wangu lumia kali ni 1020 hiyo 1520 screen oversize

Nikimaanisha kwenye specs. Ina quality ya kuitwa flagship. Ila hizi nyingine they're too average
 
1.hakuna simu zinazoitwa sonyerricson siku hizi, hio ndoa ilivunjika kuna sony 2

2. mbona kila simu inaconect na pc na tv kwani lazima sony?

3. kinachofanya simu iwe na function za pc ni processor, intel washatoa processor ya simu ya x86 yenye uwezo wa kurun full windows, soon simu zenye full windows zitatoka just sina uhakika kama ms atatoa au hatatoa

Acha undez jina la bland limebdrika siyo device ilikua n sony ericson now n Sony mobile cooperation
Then usikalili eti kinachofnya mob phn ku function kaz ya pc ni processor hv unajua kaz ya processor!? Pc ina mult fnctn nying ni kwasabu ya mambo meng amabyo simu haiwez

Intel siyo wazarshaji pekee wa processor hapa dunia kampuni zipo nying tu bob swala la Microsoft na kampun nyingne kutoa simu unazowaza wewe zifanye kazi ya pc ni ndoto pc inauwezo wa kufnya kaz nying kuliko unavyoichulia wewe poa poa kijana
 
Back
Top Bottom