Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
kuna tetesi za 940 ila sio zakuaminika
-iris scanner ya infrared inayofanya kazi hadi usiku
-itakuwa na dock hivyo kuitumia kama pc ukiwa nyumban
-kutakua na sensor za kumjua kama mtu ni left handed au right handed ili os iji adjust
-sd 805/810
-30mp camera
Yeah! We need a true flagship with outstanding specs.
Sio kuunga unga tu kama Samsung.