Naipenda simu yangu ya windows

Naipenda simu yangu ya windows

Acha undez jina la bland limebdrika siyo device ilikua n sony ericson now n Sony mobile cooperation
Then usikalili eti kinachofnya mob phn ku function kaz ya pc ni processor hv unajua kaz ya processor!? Pc ina mult fnctn nying ni kwasabu ya mambo meng amabyo simu haiwez

Intel siyo wazarshaji pekee wa processor hapa dunia kampuni zipo nying tu bob swala la Microsoft na kampun nyingne kutoa simu unazowaza wewe zifanye kazi ya pc ni ndoto pc inauwezo wa kufnya kaz nying kuliko unavyoichulia wewe poa poa kijana


Mkuu kwa uandishi huu,sidhani kama ni heri kuendelea kubishana na huyu jamaa.
 
Nikimaanisha kwenye specs. Ina quality ya kuitwa flagship. Ila hizi nyingine they're too average

Lumia 930 sio average, labda battery life tu, ambayo hata hivyo ni kama iPhone 6 au 5s labda, ambazo watu hawaziiti average. Camera ni 20MP,pureview na zeiss lens with optical image stabilization (lg g3 haina OIS). memory ni 32gb, processor ni snapdragon 800, sio the best ila si average, pixel count ni 441ppi.
http://m.gsmarena.com/nokia_lumia_930-6227.php
 
kevin_mpindajr

processor ndio ubongo wa computer, ubongo ndio unaomfanya mtu awe na akili au awe kilaza. intel wameweza kutengeneza processor pc ziweze tumika kwenye tablet mwaka 2013 hivyo tukawa na pc za inch 7 tu.

mwaka 2015 intel wametoa processor za x86 kwa ajili ya simu na tablet kuna x3, x5 na x7 so sio ndoto tayari tuna full pc kwenye maumbo madogo. ila ni dream yangu iwe surface phone. hebu google dell venue 8 pro, asus t90, lenovo miix 2, toshiba encore uone pc zinaukubwa gani siku hizi maana naona bado unaishi zama za kale
 
Last edited by a moderator:
Kwa wale wanaopata shida kutuma audio files katika whatsapp.. Kuna trick ya kudownload app ya files..( iko store) then fungua audio file lilipo..rename iyo audio file kwa kueka ".mp4" pale mwishoni ilipo ".mp3" then copy window into phone> pictures.. Good luck
 
Lumia 930 sio average, labda battery life tu, ambayo hata hivyo ni kama iPhone 6 au 5s labda, ambazo watu hawaziiti average. Camera ni 20MP,pureview na zeiss lens with optical image stabilization (lg g3 haina OIS). memory ni 32gb, processor ni snapdragon 800, sio the best ila si average, pixel count ni 441ppi.
http://m.gsmarena.com/nokia_lumia_930-6227.php

Kwanin walishindwa kutengeneza simu yenye specs zaid ya 1520?
 
Lumia 930 sio average, labda battery life tu, ambayo hata hivyo ni kama iPhone 6 au 5s labda, ambazo watu hawaziiti average. Camera ni 20MP,pureview na zeiss lens with optical image stabilization (lg g3 haina OIS). memory ni 32gb, processor ni snapdragon 800, sio the best ila si average, pixel count ni 441ppi.
http://m.gsmarena.com/nokia_lumia_930-6227.php

lumia 930 ni high end smartphone ila si flagship
 
Kwanin walishindwa kutengeneza simu yenye specs zaid ya 1520?

Hawajashindwa, wanasubiri software ya windows 10 ikamilike. After all 1520 haiizidi lumia 930 vitu vingi sana, ni sd card tu na battery, na offcourse 1520 ni pjablet
 
Sikubaliani na wewe mzee 920 imeizidi nini 930? Au 1520?

lumia 920 ndio ilikuwa flagship ya 2012/2013 baada ya hapo zikatoka lumia 1020 na 1520 ambazo nazo ni flagship sema ni niche.

lumia 1520 ni flagship ya phablet, na 1020 ni flagship ya camera phone.

lumia 930 yenyewe ni mini version ya 1520 ambayo inalack hata hivyo vitu vya 1520.

flagship ya 2013/2014 ilitakiwa iwe mclaren simu ambayo imekaa lab za nokia kwa muda mrefu ikiwa na latest technology kama solar charging na 3d view.


nikisema lumia 920 ndio flagship ya nokia simaanishi kuwa ndio ina latest specs namaanisha ndio flagship ya mwisho kutoka ambayo sio niche. imetengenezwa kwa kila mtu na sio kwa wapenda camera tu ambao wapenda masimu makubwa
 
lumia 920 ndio ilikuwa flagship ya 2012/2013 baada ya hapo zikatoka lumia 1020 na 1520 ambazo nazo ni flagship sema ni niche.

lumia 1520 ni flagship ya phablet, na 1020 ni flagship ya camera phone.

lumia 930 yenyewe ni mini version ya 1520 ambayo inalack hata hivyo vitu vya 1520.

flagship ya 2013/2014 ilitakiwa iwe mclaren simu ambayo imekaa lab za nokia kwa muda mrefu ikiwa na latest technology kama solar charging na 3d view.


nikisema lumia 920 ndio flagship ya nokia simaanishi kuwa ndio ina latest specs namaanisha ndio flagship ya mwisho kutoka ambayo sio niche. imetengenezwa kwa kila mtu na sio kwa wapenda camera tu ambao wapenda masimu makubwa

930 sio mini version ya 1520, ni muendelezo wa 9xx series. So baada ya 920 ni 925, then 930. 1520 ni maudhui tofauti kwa wale wapenda phablets. Kwa lugha nyingine ni kuwa 930 ndiyo latest version ya 925 na 920, na sioni kitu gani kinaifanya 930 isiwe nzuri kuliko 920, hivyo sielewi kwa nini isiwe ndo flagship baada ya 920
 
Hawajashindwa, wanasubiri software ya windows 10 ikamilike. After all 1520 haiizidi lumia 930 vitu vingi sana, ni sd card tu na battery, na offcourse 1520 ni pjablet

1520 is far better than 930.
 
930 sio mini version ya 1520, ni muendelezo wa 9xx series. So baada ya 920 ni 925, then 930. 1520 ni maudhui tofauti kwa wale wapenda phablets. Kwa lugha nyingine ni kuwa 930 ndiyo latest version ya 925 na 920, na sioni kitu gani kinaifanya 930 isiwe nzuri kuliko 920, hivyo sielewi kwa nini isiwe ndo flagship baada ya 920

kaka ntajie kitu cha 930 ambacho hakijakopi kwa 1520.

-imekopi processor
-imekopi camera hadi sensor

benchmark zote zinalingana inamaana same design

then vitu inavyopitwa na 1520
-ukaaji wa chaji
-haina glance


sasa simu ya nokia hata glance screen matatizo iwe flagship?

ukumbuke kazi ya flagship ni kuonyesha technology ya kampuni ilipofikia.lumia 930 imeitwa hivi sababu mc laren waliicancel ila bila hivyo isingeitwa 930.

na ukumbuke lumia icon iliotoka na 1520 ni exactly 100% sawa na 930. je flagship siku hizi unacopy simu yako nyengine?
 
Tetesi za simu ya mwaka huu itakuwa ina specs gan?

kuna tetesi za 940 ila sio zakuaminika

-iris scanner ya infrared inayofanya kazi hadi usiku
-itakuwa na dock hivyo kuitumia kama pc ukiwa nyumban
-kutakua na sensor za kumjua kama mtu ni left handed au right handed ili os iji adjust
-sd 805/810
-30mp camera
 
1520 is far better than 930.

Yes but is to big for far too many people, and it is categorically a phablet not a phone. So sio kundi moja na 930. Ni sawa na kulinganisha iPhone 6 na 6 plus, 6 plus is a better phone ila huwezi kuzifananisha.
 
Back
Top Bottom