Naipenda simu yangu ya windows

Naipenda simu yangu ya windows

Ahaa . Embu nijaribu kuanza hiyo pay pal. Ingawa kuna kipindi nilienda crdb bank wakasema hawajui jinsi ya kuniunganisha na pay pal

Paypal ni website utajiunganisha mwenyewe, crdb wao wanatakiwa waifungue card yako ili iweze kufanya manunuzi ya online
 
Hivi update ipi ambayo naweza kudownload na kurusha nyimbo kwa kutumia whatsap
 
kwan unatumia window phone gani... nadhani zote kama una app ya watsap then u r gud to go ....au sijaelewa swali
Hivi update ipi ambayo naweza kudownload na kurusha nyimbo kwa kutumia whatsap
 
ok..umenipa darasa hapo.

ila kwa games lol..... wapo juu sana
[h=3]ASPHALT 8: AIRBORNE[/h][h=3]BLITZ BRIGADE[/h][h=3]DUNGEON HUNTER 4[/h]
hizo ndo my favorites graphic za kufa mtu full vibrations nice sound.... haipo nyuma mkuu

battery natumia siku tatu mkuu full game ku browse ndo sanaaa

Mkuu nisaidie, natumia Lumia 820 nikifungua cortona inasema sorry I'm speak your language yet, natumia window vision 8.1...yenye preview for developer.
 
Mkuu nisaidie, natumia Lumia 820 nikifungua cortona inasema sorry I'm speak your language yet, natumia window vision 8.1...yenye preview for developer.

kwanza hongera simu yako iko poa...nenda setting language weka english
rudi nyuma ingia regional setting weka tanzania
regional format weka match phone language.

hapo utampata bibie cortana na utakuwa chizi simu..muda wote unacheka na kuongea na simu yako ...

cheers mkuu!!
 
Wakuu chiefmkwawa SHAROBALO naomba mnisaidie kitu,hii Lumia 640 LX LTE nikitaka kuiagiza Dubai itani cost bei gani,nimeipenda sana hii simu..pia inatofautiana nini na Lumia 640 au zinafanana?tofauti yake ni nini hasa!nawasubiri wakuu.
 
Last edited by a moderator:
Wakuu chiefmkwawa SHAROBALO naomba mnisaidie kitu,hii Lumia 640 LX LTE nikitaka kuiagiza Dubai itani cost bei gani,nimeipenda sana hii simu..pia inatofautiana nini na Lumia 640 au zinafanana?tofauti yake ni nini hasa!nawasubiri wakuu.
Ingawa mimi si hao uliouliza ila kwa sasa huwezi kuipata dubai hizo simu, hazijafika huko. Ila 640XL ni kubwa 5.7'' na 640 ni 5''. XL ina camera nzuri zaidi, carl zeiss lens, 13MP,....
 
Ingawa mimi si hao uliouliza ila kwa sasa huwezi kuipata dubai hizo simu, hazijafika huko. Ila 640XL ni kubwa 5.7'' na 640 ni 5''. XL ina camera nzuri zaidi, carl zeiss lens, 13MP,....

zote zinafana sana kasoro screen zao baterry na camera.
lumia 640 ina 5 inch na lumia 640 xl ina 5.7
lumia 640 ina 8MP mbele 1MP na lumia 640 xl ina 13mp mbele 5MP

BATERRY
2500MAH KWA 3000MAH

source: Microsoft Lumia 640 and Lumia 640 XL First Impressions | NDTV Gadgets

Shukrani sana wakuu,ngoja nizisubiri nadhan hiyo lumia 640
XL itanifaa sana.
 
SHAROBALO na Sir_Mimi aisee hii kitu nilitegemea Chief-Mkwawa ataleta reviews zake hapa ila nimegundua tokea Nokia apotee na Lumia kuitwa Microsoft jamaa no more diehard fan wa Lumia.

Lumia 640 na bro wake 640XL will sell like hotcakes trust me. Record ya Lumia 520 possibly ikavunjwa. Tena na hii Windows 10 mbona iDroids watalala nje!

640 XL bei yake iko juu compare na 640 so the later will be perfect choice.
 
Last edited by a moderator:
SHAROBALO na Sir_Mimi aisee hii kitu nilitegemea Chief-Mkwawa ataleta reviews zake hapa ila nimegundua tokea Nokia apotee na Lumia kuitwa Microsoft jamaa no more diehard fan wa Lumia.

Lumia 640 na bro wake 640XL will sell like hotcakes trust me. Record ya Lumia 520 possibly ikavunjwa. Tena na hii Windows 10 mbona iDroids watalala nje!

640 XL bei yake iko juu compare na 640 so the later will be perfect choice.

mi nasubiria december tu mungu akijalia nione comeback ya nokia itakuaje. hizi simu mpya za microsoft zinavutia kwenye karatasi ila hazina tofauti na android ni specs specs specs tu hakuna innovation. mc laren wameicancel na tech nyingi za nokia sizioni. nataka kuwa suprised na innovation za maana kama alivyokuwa nokia na sio kuongeza quantity tu
 
Last edited by a moderator:
microsoft ameanzia pazuri, ametumia mgongo wa nokia. akili za kuambiwa + changanya na zako pia. tuwape muda pia
 
Nokia Lumia ni wazuri but camera zao bado hazitii mguu kwa iphones & sumsung
 
Back
Top Bottom