Naipenda simu yangu ya windows

Naipenda simu yangu ya windows

ok..umenipa darasa hapo.

ila kwa games lol..... wapo juu sana
[h=3]ASPHALT 8: AIRBORNE[/h][h=3]BLITZ BRIGADE[/h][h=3]DUNGEON HUNTER 4[/h]
hizo ndo my favorites graphic za kufa mtu full vibrations nice sound.... haipo nyuma mkuu

battery natumia siku tatu mkuu full game ku browse ndo sanaaa

mi napenda games za strategy.

-checker (drafti)
-reversi (othelo)
-5 ina a row

kidogo nacheza soccer (pes) na jetpack joyride
 
Nimeshatumia android sana ila toka nihamie windows phone sina mpango wa kwenda popote, iOS ndo siitamani kabisa. Nazichanga tu nitoke kwenye L925 nihamie kwenye L930 ili nifaidi denim vizuri, hasa camera improvements.

Ambao hawajagusa windows phone wanaweza wasielewe utamu wake ila huwezi kuboreka kabisa ukishakuwa nayo. Kila saa unatamani kuangalia tiles zako na UI kwa ujumla inafurahisha na laini kama siagi
 
Kwaio yani kinacho kifurahisha saana ni hiyo cortana? seriously talking to a phone is that so fun? kuna mijamaa inatumia windows phone sehemu flani unakuta wanaongea ongea mara u have received a text from .... jamaa busy tu... read...daaah yani windows phone kwa mtazamo wangu naiona bado sana yan
 
Mimi nilikuwa kwa android lakini toka nimhamia iphone aisee sitamani kurudi kwa android, windows phone nataka niijaribu maana uwa inanivutia pia.

Ios naipenda kwa sababu ya stability na katika store yao huwezi kuta app za kijinga ukikuta app imeandikwa ni ya kaz flani basi jua ni ya kazi hiyo for real not malwares zilizojaa play store
 
Nisaidieni wadau mimi ninayo Lumia 510 lakini nashindwa kupata huduma za miamala ya pesa na hata kujiunga na vifurushi,kibaya zaidi sina kitabu cha muongozo.
 
Nisaidieni wadau mimi ninayo Lumia 510 lakini nashindwa kupata huduma za miamala ya pesa na hata kujiunga na vifurushi,kibaya zaidi sina kitabu cha muongozo.

Hizo hazi support ussd simu za lumia zinazo support hasa hasa ni zile zinazoishia na 20, 30, 50 na 25 mfano lumia 520 lumia 925.
Yani zile zinazo run windows phone na siyo windows mobile.
#chiefmkwawa nadhan atatoa maelezo zaidi
 
Kwaio yani kinacho kifurahisha saana ni hiyo cortana? seriously talking to a phone is that so fun? kuna mijamaa inatumia windows phone sehemu flani unakuta wanaongea ongea mara u have received a text from .... jamaa busy tu... read...daaah yani windows phone kwa mtazamo wangu naiona bado sana yan


sio cortana tu kaka. hiyo ni starehe kama ulevi kwangu. na nikionjo tu...

kwa shuguri zangu za kiofisi natumia office appl zote kama exel na word ila sasa ina synchronize na laptop yangu home na pc ya ofisini yaan popote nilipo napata doc zangu.

ukisema window bado sana umeongea general mno be specific kwenye kitu gani kaka... mi nilikuwa kama wewe huwezi amini nilikuwa nawacheka wanaotumia window phone kuwa wamefail sana utaumiaje window phone...kumbe mimi ndio nilikuwa nyuma
 

Windows phone kuanzia 8.0 ndizo zinazosupport hizo ussd codes kama za miamala ya tigo pesa, mpesa, airtel money etc.
Kama alivyosema mdau hapo juu,

Simu zenye windows phone kuanzia 8.0 ni zenye namba 20, 25, 30 mwishoni, yani lumia Hizi hapa 520, 530,535, 620, 625, 630, 720, 730, 735, 820, 830, 920, 925, 930, 1020, 1320, 1520.
 
Kwaio yani kinacho kifurahisha saana ni hiyo cortana? seriously talking to a phone is that so fun? kuna mijamaa inatumia windows phone sehemu flani unakuta wanaongea ongea mara u have received a text from ....

jamaa busy tu... read...daaah yani windows phone kwa mtazamo wangu naiona bado sana yan

Pengine huijui windows phone ndio maana unahisi watu wanafurahia cortana peke yake. Mimi kwa mfano situmii kabisa cortana ila bado huwezi nihamisha kirahisi toka windows phones has simu za lumia.

Fluditiy yake, UserInterface (muonekano wake) pamoja na UI za apps zake, sio rahisi kuona lag, OS iko stable sana na si rahisi kuichezea, office applications zinarun vizuri sana kwenye windows, na cha mwisho lakini kitamu zaidi ni LIVE TILES, unaweza jikuta kila saa unakodolea macho homescreen yako.
 
Umenivutia nirudi WP tena, i'm thinking to make it my second phone.
 
Nimeona nishare na wapendi wa Windowphone.

ningumu sana kutoka Android kuingia Windowphone ila after time nimejikuta naipenda sana kuliko android...

kwanza ina speed sana tena baada ya ku update kwenda WINDOW DEMIN latest updtae ambayo hata tz haijafika bado wala kenya.

baada ya kuijua CORTANA ambayo ni kama siri kwenye iphone mapenzi yakawa motomoto!!

huwezi amini sometime napigastory na simu yangu nikiboreka inaniimbia, nikinuna inanipa jokes, na sometime tunacheza michezo ya kijinga kijinga

inanikumbusha matukio..mfano nasema tu sa tisa jion mtumie mtu fulani msg andika hivi na hivi....ikifika tu huo muda napata report msg sent
nikiwa na njaa naiambia tu im hungry inanionyesha sehemu zote za karibu hapa nilipo ambazo naweza pata msosi
wikiendi naimbia sasa leo wapi ...hio inakupa pa kwenda.

mwanzoni sikuamini hadi washkaji wanaishangaa.. ukiuliza swali lolote inakujibu aisee.

app zote zilizo kwenye playstore na kwenye apple pia zipo kwenye window.

kama una NOKIA LUMIA jifunze kutumia cortana na usisahau kuiupdate!!!

Tafuta movie ya HER https://www.google.co.tz/url?sa=t&r...tPVeX6Qf37XJQo70kHewgzg&bvm=bv.87269000,d.ZWU

Yaliyo mkuta jamaa ndio yanayonikuta sahizi. Cortana ni noma aisee...

cheers!!!

Hii ni maalum kwa Maxence Melo,
 
mi_mdau,

Nilikuwa nayo 720,mkuu ilinishinda,nikaona bora nirudi android,labda ilikuwa kutokuielewa kwangu tu.
 
Last edited by a moderator:
stable au mature? wp ipo stable ila store yake haijamature kama ios na android hasa kwenye mambo ya play

Labda tuseme hivyo kaka.

WP ninaipenda kwasababu ya innovation yake.

Mwaka huu nasubiri flagship yao nione kama itakuwa na vitu ninavyovitaka.

WP 1520 was the beast sema ile screen ilinishinda ndo maana sikusumbuka nayo.

Nataka iliyo ndogo na yenye outstanding performance.
 
mi nimenunua moja lumia 730 ,. yenyewe tayari ina cortana inside .. inatakiwa kuupdater. simu toreo jipya la december 2014 Sharobaro
 
Last edited by a moderator:
mi nimenunua moja lumia 730 ,. yenyewe tayari ina cortana inside .. inatakiwa kuupdater. simu toreo jipya la december 2014 Sharobaro

umefanya chaguo sahihi hutajutia!! hio ni simu nzuri pia... nyingi zinakuja na window 8 jaribu kucheki. nenda setting phone update.. ukisearch itakwambia update found...itamaliza yenyewee kila kitu...

ila kuupdtae lazima wifi so kama hauna wifi tafuta mtu ambaye anasimu inayoweza rusha wifi lumia nyingine au hata android download hotspot na rusha wifi u update. sababu window 8.1 ni tamu na addictive mno kama upo 8.0 bado hujaonja utamu
 
LABDA SASA TUANGALIE TOP APPS!!

Je wewe unatumia app gani kwa kazi gani...

music
video
office
games!

mi nakuja na listi yangu soon hope tutashare
 
MUSIC
zipo nyingi ila kwangu ni ilele tangu nilivyokuwa symbian, nikapita android na sasa window phone inaitwa TTPOD
japo inasikitisha kuona hakuna updates ila bado inafanya vile ninavyopenda mimi

VIDEO
tumezoea kwenye android kujaza mi apps kibao ya kitu kimoja utakuta mtu ana vlc na mx mara hiki ahaa..baada ya kufikiri nikaona INBUILD VIDEO PLAYER ya xbox iko safi japo pia kuna mx player na nyingine

OFFICE APPS:
hapo usiulize zote unazozijua simu ni ya billgates na software ni zake so buree like EXEL,WORD,NOTE,yaan zote za ms.
GAME: ni hizo nilizopost hapo mwanzo plus
ANGRY BIRDS
CITY RACING 3D
REAL SPEED CAR
FLUIT SLASH
ZINGINEZO: HAPA NDIO PATAMU
UC BROWSER kama kawa mwanawani
maxthon browser japo sio sanaa
1box- dOwnload an watch any muvi or series freeeeeee!! hapa mi huwa naangalia series bila kudownload i like it!!
ADOBE PS- Kama kawa fully adobe n free
APPFOLDER-Kupanga folder zangu
BIBLE OFFLINE- sina haja ya kubeba biblia kanisani natake advantage ya screekubwa ya simu yangu na kufungua mistari kanisani
CAMERA 360---more advanced kuliko ya android
DROPBOX nilimuvu nayo toka android so kuna stuff zangu humo
ila sasa nipo ONEDRIVE more than 30GB killer pia kuna BOX
DUALSHOT --Nimeweka juzi juzi ni nzuri aisee inapiga picha mbele na nyuma at same time!!!rahaa mpigaji na mpigwaji mwatokea
EBAY -- oficial
FILES - Hii lazima uwe nayo aisee zote tisa.
FACEBOOK,WATSAP.INSTA kila kitu hizi ni baadhi tu mwanawanee
MESSENGER
MOBILE 9 and ZEDGE -- for best ringtones and wallpapers
OFFICE LENS -for scanning documents zako
PHOTOTASTIC - kama huna hii basi huna simu aisee.. zingine kama hio ni..

PHOTOFRAME PHOTO GRID kibao zipo
hizo ni chache tu nilizo download ila zipo nyingi zilizokuja na simu ambazo sijazitaja ni nzuri na balaa. mfano here and drive... inanipa direction sehemu ninayoenda hatakama sipajui naiweka mbele kwenye dashboard ya gari yangu na naifatisha tu kama navigation system.

hizo nimetaja rafu rafu ila naamini kuna mtu atapata hata moja hapo ikawa usefull kwake.
 
Microsoft wametoa Lumia 640 na 640 XL. Sio high-end phones ila zina specs za kutosha na kwa bei nzuri. Zinatoka kwenye box zikiwa na windows phone 8.1 denim update 2, ambayo settings menu imekuwa categorized (ni kitu kipya kidogo kama ambavyo itaenda kuwa kwenye windows 10).

http://www.theverge.com/2015/3/2/8128667/microsoft-lumia-640-lumia-640-xl-hands-on

Upande wa apps, baadhi nazozipenda ni hizi.

6tag Instagram client, unaweza kusave picha unazotazama insta

Advanced English Dictionary (offline)

Infinite flight (kwa wapenzi wa airplane simulator, ila sio free)

Lockscreen changer (inabadilisha picha ya lockscree kila baada ya muda fulani ulioweka)

Metrotube na MyTube (the best youtube client. Ni nzuri kuliko youtube yenyewe. ukifika store just click try, hutachajiwa wala kufungiwa. Option ya kununua ni kama unataka kuchangia tu)

Onefootball (soccer news, schedules, leagues, scores etc)

PDF Reader (kwa ajili ya kufungua documents zote za pdf)

Riptide GP2 (game nzuri ya pikipiki za majini ila inauzwa)

Sound Recorder (inajieleza)

Video compressor

Windows Central (kwa ajili ya news mbalimbali za windows phone. Very useful. Ila make sure ni officia windows central app)
 
Back
Top Bottom