the horticulturist
JF-Expert Member
- Aug 24, 2012
- 1,959
- 1,929
Jinsi gani ni set cortana kwenye lumia 520 maana inaniambia regional settings sio
simple nenda setting badili regional seting weka tanzania au unataka kufanya nn
region ikikaa us
keyboard ikikaa english us
ndo mtu unapata cortana beta.
Iko hivyo ila bado inagoma ni cortana beta nikijaribu kusearch napata hivyo
ukibonyeza button ya kulia chini ya search Anakuja cortana au bing?
Inakuja bing
then cortana hayupo na simu yako haina lugha ya kingereza cha marekani.
eka language iwe english us na region iwe us.
then kacheki updates kama utaona kuna update install then simu itajirestart halafu utaona lugha ya kimarekani inatokea na unapata cortana.
Pengine huijui windows phone ndio maana unahisi watu wanafurahia cortana peke yake. Mimi kwa mfano situmii kabisa cortana ila bado huwezi nihamisha kirahisi toka windows phones has simu za lumia.
Fluditiy yake, UserInterface (muonekano wake) pamoja na UI za apps zake, sio rahisi kuona lag, OS iko stable sana na si rahisi kuichezea, office applications zinarun vizuri sana kwenye windows, na cha mwisho lakini kitamu zaidi ni LIVE TILES, unaweza jikuta kila saa unakodolea macho homescreen yako.
Basi hiyo UI yake ndo iliyonichoshaga aisee niliwahi kukaa na Lumia 520 kipindi hicho imetoka toka kwa siku 3 aiseee ikaniboa hatare aiseee,na pia nilikua naizimia sana lumia 720 sema basi tu android yangu imekufa design labda nina weza kuijaribu hizi za matoleo mapya mapya ila kwa kweli daaahh windows bana binafsi
Chief-Mkwawa MWC is over but you did'nt say a word kuhusu Lumia 640 &640XL kuanzia specs design and price.
Jaman kilio changu bado sijafutwa machozi, tangu mwezi wa 12 natafuta betri la lumia 920 , dar kwa mid com nilikosa , watu wanasema niagize ila sina experiance ya kuagiza e bay. Simu nimeiweka tu kwenye droo
Yah ninavyo