Naipenda simu yangu ya windows

Naipenda simu yangu ya windows

Guys windows 10 is out, nimweshadownload na nimeshaupdate simu yangu.

f86a9e1b6d1c91580738a77146e70073.png



c0c0da10047cac855d642da6c2ffded5.png


7b2dd8d805c84b242563b2bfdf5480ad.png


78e7d73f3f2d32a82aa4e0de8bbbbcda.png


f577dd9d96737776fb4eb053b1361f7a.png


69a5563981025c3c2e009ba30e3df04f.png




Ina muonekano mzuri ila still wameniangusha sehemu moja. Haina option ya kulock network.


e4b94db928c5cb952e0555065e0026a3.png


Mengine ngoja tutumietumie may be yataibuka.

unatumia simu gani? kwenye insider kulock 3g ipo maybe watarelease patch
 
mimi toka zamani si upload pic zangu jf natumia hosting nyengine.

nenda hapa
Imgur

halafu upload picha yako then paste url yako sehemu unapotaka picha ionekane ikiwa katika tag za img
MKUU vipi lgP769 ubora wake ni mzuri?
 
simu ya zamani sana hata os yake ya zamani itategemea unaipata kwa sh ngapi na unataka uifanyie nini
Kwa ajili ya kuchati na kucheza magemu MKUU niko nayo hapa ila nikiitumia kwa mda mrefu (MASAA3)inapata inapata moto sijui nini tatizo MKUU CHIF.
 
mim nipo 122 n stable...
 

Attachments

  • wp_ss_20160307_0001.png
    wp_ss_20160307_0001.png
    26.4 KB · Views: 50
Kwa ajili ya kuchati na kucheza magemu MKUU niko nayo hapa ila nikiitumia kwa mda mrefu (MASAA3)inapata inapata moto sijui nini tatizo MKUU CHIF.
hio simu haiwezi kuhandle games kubwa, na kupata moto inategemea ulikua unafanya nini kila simu inapata moto
 
unatumia simu gani? kwenye insider kulock 3g ipo maybe watarelease patch


Ila dah, inaonekana hii WP 10 os inatafuna sana chaji. Maana consumption yake imekuwa kubwa tofauti na ilivtokuwa katika WP 8.
 
Ni official. Jana mida ya jioni saa nilipata notification ikinitaka niupdate. Bila ajizi nikaupdate,
Poa kaka kwa maelezo...me natumia Lumia 625 acha tu niisuburi nna hamu nayo kweli sijui lini ntaipata,naogopa kuichukulia windows insider sina ujanja sana wakucheza na haya madude.
 
Ila dah, inaonekana hii WP 10 os inatafuna sana chaji. Maana consumption yake imekuwa kubwa tofauti na ilivtokuwa katika WP 8.
pengine wameongeza background task nyingi, am not sure kama win 10 utatumia same procedure ila kwa wp ukienda kwenye app ya battery utaweza kumanage background task na kuvifungia vitu ambavyo hutaki vifanye kazi chini kwa chini
 
jisni ya kuangalia local tv na tv nyengine kwa kutumia windows phone
kuna wadau humu waliniomba nilifanyie kazi hili suala haya ndio majibu

1. nenda store search app inaitwa tvizzle hii app itakuwezesha kuangalia tv online pamoja na kusave list ya tv zako kwa ajili ya kuja kuangalia baadae

2. fungua app yako utakuta tv za kituruki achana nazo nenda setting utaona sehemu ya kupaste url
apps.56126.9007199266657656.6d6536a1-8f7d-4588-a86a-2f1d920a6a71.f1e6f8ae-2162-422c-9fe1-fb07bd575cdc


3.nenda link hii kupata chanell za kitanzania
IPTV - AFRICA ~ Iptv Links

4.paste link husika kwenye box la url halafu play

local tv zitaanza kuplay
 
sijui wanafkiria nini microsoft lakini so far simu zote zinazoishiwa na 50 hazimake sense.

ni aibu simu za series ya 20 zikiwa na power kuliko za 50 hasa ukiangalia kwamba zina gape ya miaka karibu 4.

lumia 520, 620 na 720 zote zilikuwa na adreno 305 kama gpu na ni za zamani sana ila simu ya 2016 inatoka na adreno 304 halafu inauzwa bei ghali.
 
Back
Top Bottom