Naipenda simu yangu ya windows

Naipenda simu yangu ya windows

Kaka habari!
Mimi nimejisajili kama windows insider ili niipate mapema windows 10 ,najiuliza na naomba unisaidie je siku ikiwa released kwa kila mtu kutakua na faida gani ya mimi kubaki insider !!?? Je kama hakuna faida naitoaje insider na kupokea official update maana sasa nahisi niko kwenye update itakayokua official mwa simu zote zitakazopokea windows 10.Simu ni lumia 820 mkuu.

Ahsante na natanguliza shukrani
 
Kaka habari!
Mimi nimejisajili kama windows insider ili niipate mapema windows 10 ,najiuliza na naomba unisaidie je siku ikiwa released kwa kila mtu kutakua na faida gani ya mimi kubaki insider !!?? Je kama hakuna faida naitoaje insider na kupokea official update maana sasa nahisi niko kwenye update itakayokua official mwa simu zote zitakazopokea windows 10.Simu ni lumia 820 mkuu.

Ahsante na natanguliza shukrani

utapata official updates japo inaweza chelewa kidogo kwako. halafu ukishapata utaamua mwenyewe kubaki insider au kuondoka.

hivyo ndivyo ilivyokuwa kwenye insider ya windows 8.1 nafkiri na mara hii watafanya hivi hivi.
 
b98c350768548fb2c64ba117243b610f.png


Nimeipenda nishaipata hiyo update[/QUOT

Poa Sana! Ila
b98c350768548fb2c64ba117243b610f.png


Nimeipenda nishaipata hiyo update
Naisubiri kwa Hamu hyo .107 nna Lumia 830 inanambia iko up to date! Ila Jana Microsoft ka achia update kwa fast ring insider kwa Lumia 50 series na xaiomi mi4! Build. 14267 Redstone!
 
Naisubiri kwa Hamu hyo .107 nna Lumia 830 inanambia iko up to date! Ila Jana Microsoft ka achia update kwa fast ring insider kwa Lumia 50 series na xaiomi mi4! Build. 14267 Redstone!
 
Mkuu vipi kuhusu app ya ku download videos ktk youtube? Nimecheck tubemate sijaipata
kwa youtube hakuna os inayoifikia windows phone wala usiwe na wasi wasi. angalia apps hizi.

1. stream tube
hii inaonesha youtube live tu, yaani vitu ambavyo vinaonekana wakati huu duniani mfano online games, mpira sometime unaona, events mbali mbali kama uzinduzi wa simu nk

2. tube cast
kama una tv au deki inayosuport dnla, widi au technology yoyote ya wireless display hii app ni nzuri sana utaweza ona youtube na tv yako au deki yako ya dnla itapata uwezo wa kuona youtube kupitia hii app.

3. metrotube na mytube
hizi ni app nyengine nzuri za youtube utaweza angalia na kudownload youtube,

uzuri wa app za windows phone za youtube ni kwamba zina feature zote za official apps na za 3rd party apps nikimaanisha vitu kama
-kuangalia video kwa quality unayotaka
-kudownload kwa quality unayotaka
-kucoment
-kusign in na kusync playlist zako
-kulike
-kucast kwa wireless tech za wifi
 
kwa youtube hakuna os inayoifikia windows phone wala usiwe na wasi wasi. angalia apps hizi.

1. stream tube
hii inaonesha youtube live tu, yaani vitu ambavyo vinaonekana wakati huu duniani mfano online games, mpira sometime unaona, events mbali mbali kama uzinduzi wa simu nk

2. tube cast
kama una tv au deki inayosuport dnla, widi au technology yoyote ya wireless display hii app ni nzuri sana utaweza ona youtube na tv yako au deki yako ya dnla itapata uwezo wa kuona youtube kupitia hii app.

3. metrotube na mytube
hizi ni app nyengine nzuri za youtube utaweza angalia na kudownload youtube,

uzuri wa app za windows phone za youtube ni kwamba zina feature zote za official apps na za 3rd party apps nikimaanisha vitu kama
-kuangalia video kwa quality unayotaka
-kudownload kwa quality unayotaka
-kucoment
-kusign in na kusync playlist zako
-kulike
-kucast kwa wireless tech za wifi
asante kwa maelezo yaliyo nyooka


sasa tuje upande wa muvies kwa android tunajua ipo app inaiywa showbox inafanya vyema kabisa.

huku kwa lumia ni app gani nzuri kama hiyo?
pia umekua ukiweka links mbalimbali za muvi kama index of movies/film sasa naomba kujua kwanini hao wamiliki wa hiyo mitandao hawasumbuliwi kama torrents na pyratebay kama sikosei?
ahsante.
 
asante kwa maelezo yaliyo nyooka


sasa tuje upande wa muvies kwa android tunajua ipo app inaiywa showbox inafanya vyema kabisa.

huku kwa lumia ni app gani nzuri kama hiyo?
pia umekua ukiweka links mbalimbali za muvi kama index of movies/film sasa naomba kujua kwanini hao wamiliki wa hiyo mitandao hawasumbuliwi kama torrents na pyratebay kama sikosei?
ahsante.

si kila mtu anazijua hizo site na zikiwa maarufu kidogo zinakufa. tumia ucdownload na site za namna hio utadownload movie vizuri tu. pia unaweza tumia torrent. pia youtube zipo movie baadhi
 
ushauri acha kabisa kununua smartphone yenye windows os, report ya hivi majuzi inaonyesha mauzo ya hizo simu yamepungua kwa 50% na kwa sasa simu hizo ni asilimia 1.7 ya smartphones zilizouzwa kwa wateja globally na usishangae microsoft ikaachana na hiyo biashara kwa source jaribu ku google business insider uk [this chart shows how badly microsoft's windows phone business is doing]
 
ushauri acha kabisa kununua smartphone yenye windows os, report ya hivi majuzi inaonyesha mauzo ya hizo simu yamepungua kwa 50% na kwa sasa simu hizo ni asilimia 1.7 ya smartphones zilizouzwa kwa wateja globally na usishangae microsoft ikaachana na hiyo biashara kwa source jaribu ku google business insider uk [this chart shows how badly microsoft's windows phone business is doing]
mmmmmh
 
ushauri acha kabisa kununua smartphone yenye windows os, report ya hivi majuzi inaonyesha mauzo ya hizo simu yamepungua kwa 50% na kwa sasa simu hizo ni asilimia 1.7 ya smartphones zilizouzwa kwa wateja globally na usishangae microsoft ikaachana na hiyo biashara kwa source jaribu ku google business insider uk [this chart shows how badly microsoft's windows phone business is doing]

mauzo ya windows phone yameshuka sababu zimu zinazotoka sasa hivi sio nzuri kama zilizopita hivyo watu hawana haja ya kununua simu mpya wakati simu ya zamani inaweza fanya mambo ambayo simu mpya inafanya.

nina simu yangu ya wp ya 2012 (lumia 620) na ina nguvu kuliko simu za mbele yake za series moja kama lumia 650, hivyo sioni haja ya ku update.

userbase ya windows phone, windows 10 na xbox zote zinaunganishwa na windows 10 na zitashare app hizo hizo na zitafanana mambo mengi.

sasa hivi kuna
-zaidi ya pc milioni 200 za windows 10
-mwaka jana katikati zilikuwa zimeshauzwa simu milioni 100 za wp na kama 80m hv ni active
-kuna xbox one console milioni kadhaa.

hivyo roughly kutakuwa na kama vifaa milioni 300 vya windows 10 miezi michache ijayo, hichi ndio kinachomata na ndio kitakachofanya madeveloper waendelee kusuport windows 10.
 
utapata official updates japo inaweza chelewa kidogo kwako. halafu ukishapata utaamua mwenyewe kubaki insider au kuondoka.

hivyo ndivyo ilivyokuwa kwenye insider ya windows 8.1 nafkiri na mara hii watafanya hivi hivi.

Mkuu eeeh,hivi nikitaka kuupload picha kwenye version hii mpya ya JF nafanyeje,mimi imenizingua kinyama,naomba unisaidie kama una ufahamu Mkuu
 
Mkuu eeeh,hivi nikitaka kuupload picha kwenye version hii mpya ya JF nafanyeje,mimi imenizingua kinyama,naomba unisaidie kama una ufahamu Mkuu

mimi toka zamani si upload pic zangu jf natumia hosting nyengine.

nenda hapa
Imgur

halafu upload picha yako then paste url yako sehemu unapotaka picha ionekane ikiwa katika tag za img
 
Back
Top Bottom