giftcharles
Senior Member
- Aug 11, 2015
- 147
- 77
Tecno ndio mkali na hamna haja ya kununua simu nyingine yoyote soma hapa sababu kwa nini nasema hivi
Ni mawazo yako uko huru kuongea ,kila mtu na akipendacho mimi tecno hata kuishika tu sitaki maana kwa matumizi yangu hata galaxy s3 inastuck sasa tecno si ndio itazima kabisa ,pia siko in love na android phones napenda windows na ios sema ios phones size yakekwa phone ya ndani ya uwezo wangu ni ndogo sana (umbo)Tecno ndio mkali na hamna haja ya kununua simu nyingine yoyote soma hapa sababu kwa nini nasema hivi
Tecno ndio mkali na hamna haja ya kununua simu nyingine yoyote soma hapa sababu kwa nini nasema hivi
muda tu, nafkiri toka 2013 kwenye update ya black, na ilivyotoka cyan likaisha kabisa sababu sasa hivi kuna file managerHivi lile tatizo la memory kujazwa na other files alafu huwez kuzi access na kuzifuta lishapatiwa ufumbuzi,
kama ni yes nambie nirudi kwenye hiyo platform maana ndicho kilicho nikimbiza kunitoa huko nisiendelee kutumia windows phone...
Vip kuhusu lumia 650 nmepta GSM na phone arena naona watu wanakoment kuwa ni simu ya bei kubwa performance ndogo 1gb, 16gb, snapdragon 212, betry 2000. mnasemaje kuhusu Hilo? Na kuna mmoja akasema snap ya 212 inatosha saana kwa windows 10
Aisee kwa hapo still inaonyesha simu za nyuma ni bora kuliko zanazo toka sasa....sijui wanafkiria nini microsoft lakini so far simu zote zinazoishiwa na 50 hazimake sense.
ni aibu simu za series ya 20 zikiwa na power kuliko za 50 hasa ukiangalia kwamba zina gape ya miaka karibu 4.
lumia 520, 620 na 720 zote zilikuwa na adreno 305 kama gpu na ni za zamani sana ila simu ya 2016 inatoka na adreno 304 halafu inauzwa bei ghali.
. Sasa hvi kuna build 10586.107 na hii ndo itakua public release, Kuna baadhi ya simu Kama 950 xl na 950 zimeanza pata update tangia Jana!Kama una muda cheki update nyingine. OS build inatakiwa kuwa namba 10.0.10586.63
Mimi Nina Nokia Lumia 822 Verizon but Kila ninapojalibu kui updates uwa unaenda hadi 80% mwishoo ya fail so sijui Ni speed ya WiFi ama Ni simu yenyewe aina uwezo ya kupokea updates
Msaada wenu wakuu mana still ipo na window 8 na Kuna app nazikosa kwa sasa
Samahani chief mkwawa apps gani nzuri ya twitter kwenye window phoneikifeli inatoa error gani? kunakuwa na namba wanaandika kupitia hizo namba utajua tatizo ni nini
za kulipiaSamahani chief mkwawa apps gani nzuri ya twitter kwenye window phone
Asante sana chief mkwawa nimeona metweets ndio itanifaaza kulipia
-tweetium
-aeries
za bure
-peregrine
-metweets
just search majina yake store utazipata
. Sasa hvi kuna build 10586.107 na hii ndo itakua public release, Kuna baadhi ya simu Kama 950 xl na 950 zimeanza pata update tangia Jana!
powa itabidi nizikopi Ni ili nijue Ni error ya nnikifeli inatoa error gani? kunakuwa na namba wanaandika kupitia hizo namba utajua tatizo ni nini