Naipenda JF na hawa......

Naipenda JF na hawa......

Umemsahau anaejiita sijui Mtambuzi au Mtaa wa Mbuzi kama hivo...
Huyu mshairi, ye siku yake inakuja ya kumpa BIG UP zake, ana mashairi yake makali ingawa sometimes hayana vina
 
aaah, hataaa sikubali: yaani hivi hivi na wala mimi simo kwenye list, I can't believe my eyez! Hapa lazima nimpige mtu kipapai

wivu sina lakini roho inauma eeeh!

Big up sana waliotajwa, kwa kweli they rock jukwaa hili. Pamoja na kwamba nimejoin late but 4 sure nilipokuwa nachungulia ki-ugeni ugeni whenever u read post na comments zao unabaki kushangaa kuhusu fikra zao

anyway kwa namna ya pekee naomba nimtaje Kongosho na King'asti, duh comments zao me huwa hoi.....

Of note wengi wao wanashabihiana au wamebainisha wao ni jinsia ya ke, je kuna somo lolote tunaweza kupata kwamba kwanini wengi wanaonekana ku-rock jukwaa ni jinsia ya ke? Me I dunna
 
kumweka Bishanga kwenye kundi la akina mama ndo nini.
 
Last edited by a moderator:
hao hao uliowataja ndio waje wakomment sijigusi kusema lolote

Jamani nivea sio vizuri hivo... Lol. Hebu comment tu naamini kabisa M'Jr hakuwa na maana mbaya na wala hakumaanisha kuwa huna mchango hapa Jf.


M'Jr what can I say my brother.... Naomba tu niseme I am humbled kwani kwa kweli ni faraja saana inapotokea mtu kukukubali; in a way ni kama twapeana faraja na nguvu fulani kuwa you have people you can rely on in any reliable way. Nashukuru... Pamoja saana!
 
aaah, hataaa sikubali: yaani hivi hivi na wala mimi simo kwenye list, I can't believe my eyez! Hapa lazima nimpige mtu kipapai

wivu sina lakini roho inauma eeeh!

Big up sana waliotajwa, kwa kweli they rock jukwaa hili. Pamoja na kwamba nimejoin late but 4 sure nilipokuwa nachungulia ki-ugeni ugeni whenever u read post na comments zao unabaki kushangaa kuhusu fikra zao

anyway kwa namna ya pekee naomba nimtaje Kongosho na King'asti, duh comments zao me huwa hoi.....

Of note wengi wao wanashabihiana au wamebainisha wao ni jinsia ya ke, je kuna somo lolote tunaweza kupata kwamba kwanini wengi wanaonekana ku-rock jukwaa ni jinsia ya ke? Me I dunna
Ntakupa analysis ya kwangu fupi hapa kwanini inawezekana wengi wa wanao rock (kama ulivyotumia wewe) ni wa jinsia ya ke;

Kawaida mazingira tunayoishi yamemfanya mwanamke kuwa mtu ambaye huficha hisia zake au kutosema vile anavyofikiria hasa mbele ya watu. Hii imefanya ulimwengu wa kujiexpress pasi na wasiwasi kuwa wa wanaume zaidi, nafikiri kiasi fulani kwa nchi zetu za kiafrika hii ndio bado ipo kwa kiwango kikubwa zaidi. Kwa mfano kuna maneno ambayo akisimama mwanaume na mwanamke pamoja na wote wakasema neno hilo hilo, watu watashtuka pale atakaposema mwanamke na sio atakaposema mwanaume.

Sasa watu hawa wamekuwa maarufu sana kwasababu wamekuwa wazi kwa kiasi kikubwa sana. Kwa wale waliojuinga hivi karibuni, kuliwahi kuwa na mjadala mkali sana hapa kuhusu jinsia ya Kongosho kwani wengi walikuwa hawaamini kama mtu wa jinsia ya kike angeweza kuwa open kiasi alichokuwa Kongosho (I miss old Kongosho though)

Siku hizi ninaposoma post za Evelyn Salt kwa mfano huwa nacheka mwenyewe hata kuna wakati natamani nimuone huyu binti kama anavyosema ndivyo alivyo kweli. Kwa hiyo nahisi kuwa wawazi na kusema hisia zao halisi ndiko kumewafanya wawe maarufu.
 
Last edited by a moderator:
Jamani nivea sio vizuri hivo... Lol. Hebu comment tu naamini kabisa M'Jr hakuwa na maana mbaya na wala hakumaanisha kuwa huna mchango hapa Jf.


M'Jr what can I say my brother.... Naomba tu niseme I am humbled kwani kwa kweli ni faraja saana inapotokea mtu kukukubali; in a way ni kama twapeana faraja na nguvu fulani kuwa you have people you can rely on in any reliable way. Nashukuru... Pamoja saana!
Always my sister, i never miss whatever you post here.........pamoja
 
Mkuu nivea hao ni anaowapenda yeye na natumai hata wewe kuna unaowapenda pia hivyo unaweza kuwaweka hadharani kama alivyofanya yeye.
Kwa kuwa yeye hanipendi, na mimi simpendi. Bye bye
 
Sio kwamba nimewazoea
Si unajua ukitaka kumuua nyani usimtazame usoni?

Si unaona hata siku hizi umeacha kuvaa vile vimini vyako na skin tight na tshirt kama zamani. Usimuache huyo babu uliyenaye sasa hivi asee ametusaidia sana kuku "shape"
 
0003.gif

0030.gif



 
Back
Top Bottom