Shkamoo Babu. Utakunywa uji ama chai?Kwahiyo hapa mnadiskashen mapwenti gani nyie magrit sinkaz?
M'Jr naomba nikusahihishe kidogo huku nikikupa assignment.
Akili yangu inaendeshwa kwa nguvu ya kanguvuke, sio sola wala sio tanesco.
Nikiwa na mafuta masafi full tank, nakuwa safi kama theluji, mafuta yakiwa yamechakachuliwa nakuwa kama M'kwere, napotoshwa na wasaidizi wangu.
Mafuta yakiwa yanakaribia kwisha ndio hapo moto unapowaka
Mambo masafi sana my Zion Daughter. Nimekumiss hadi nimekumisplaceMambo buji mtumishi wa Mungu
Usihukumu usije ukahukumiwa..Hukumu ni ya MunguKama watumishi wa Mungu ndio wako kama Bujibuji basi balaa, yaani ni kama yule mchungaji wa juzi kwenye kuapishwa kwa Obama
Hahahahaaa we mtu nahisi enzi zile unatumia mafuta ya kuchakachua bado hujasafisha vizuri system yakoMambo masafi sana my Zion Daughter. Nimekumiss hadi nimekumisplace
Zion Daughter ukumbuke neno la Mungu linasema "Watawatambua kwa matendo yenu"Usihukumu usije ukahukumiwa..Hukumu ni ya Mungu
Haya tuambie matendo ya Bujibuji yakoje?Kumbuka Daudi alikuwa mzinzi lakn alikuwa kipenzi cha Mungu.Petro alikuwa mnafiki/alimkana Yesu mara tatu lakn aliachiwa kanisa.Kabla hujahukumu chukua nafasi ya kumuombea mtu na sio kumnenea mabaya..Mungu hapendi.Zion Daughter ukumbuke neno la Mungu linasema "Watawatambua kwa matendo yenu"
Unamaanisha mi mkatili?Kwanizamani nilikuwa mkatili?
He! kumbe unawazimia "machangu"?Yesu na Mariah! Ndio wamekubeba mzima mzima wakakupeleka PM!? Basi tena sina changu mie
nivea hebu njoo huku tucheze mchezo wetu wa wawili tu na suti tulizizaliwa nazo