Naipenda hii ya mbunge wa Chalinze

Naipenda hii ya mbunge wa Chalinze

Guns don’t kill people… dads with pretty daughters do.
 
Ujinga gani huo wa kuuza sura za watoto kwenye mitandao ndio maadili hayo.
Ila umeongea point........

sikufikiria kipande hiyo ingawa ndio hivyo tena kizazi kipya hicho, mambo yote kwy mtandao na sio tena zile zama zenu za mawe.

Chats na emails zimechukua nafasi ya barua. Instagram imechukua nafasi ya album.
 
Ila wababa hua wapo karibu na watoto wao wa kike na wamama wapo karibu na watoto wao wa kiume, mtoto wa kiume yupo radhi asimwambie baba yake siri na yupo radhi akamwambie mama yake na vise versa kwa sisi mabinti na baba zetu.
Mtafute "kichaa" mmoja anaitwa Sigmund Freud na nadharia yake ya Psychoanalysis atakupa angalau madokezo juu ya tabia hii. Anasema sababu ya msingi ni matamanio ya kingono (binti anamtamani babake na mwana anamtamani mamake). Katika hali ya kawaida matamanio haya (Oedipus Complex) hufifia kwa kadri muda unavyoendelea japo kuna wengine hu-stuck na matokeo yake huwa siyo mazuri (incest). Ni mapito ya lazima ili mtoto aweze kufikia umri na uwezo wa kuwa huru emotionally katika mahusiano yake na wenzake huko mbele ya safari.
 
Mhhhh hapana yaani mimi nimtamani babayangu, hapana kwakweli.huyo mwanasaikolojia anawaza ngono tuu
Anasema unafanya hivyo in your subconscious mind. Hujui kuwa una matamanio hayo japo unayo. Na ukikua yanapotea yenyewe. Nadharia yake ya Psychoanalysis ni mojawapo ya nadharia muhimu sana katika hatua mbalimbali za matibabu ya wagonjwa wa akili na huwezi kui-dismiss tu kirahisi namna hiyo. Google Oedipus Complex ujipatie angalau mwanga kidogo kuhusu mawazo ya huyu jamaa.
 
Back
Top Bottom