Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 23,273
- 28,434
Heko mliofanikiwa kuiba kwa raha zenu lazima muipende.Msema kweli mpenzi wa mungu, naipenda CCM sababu imenifanyia mengi na imenipa mengi.
Wakati vijana wengine mnailalamikia CCM ila akina sisi tunamshukuru Mungu kuileta CCM chama chenye kutoa fursa kwa vijana kama sisi.
Mungu ibariki CCM, Mungu ibariki Tanzania.