Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,586
- 66,282
Tunakumbushana kama ni huyu wetu sote anatakiwa kuandika kwa herufi kubwa kuonyesha ishara ya heshimaKwani unauhakika anammaanisha yupi? Labda yeye hammaanishi Mungu bali anammaanisha mungu.
Tunakumbushana kama ni huyu wetu sote anatakiwa kuandika kwa herufi kubwa kuonyesha ishara ya heshimaKwani unauhakika anammaanisha yupi? Labda yeye hammaanishi Mungu bali anammaanisha mungu.
Ndo maana mnaugua bawasiri mpuuziMsema kweli mpenzi wa mungu, naipenda CCM sababu imenifanyia mengi na imenipa wewe.
Wakati vijana wengine mnailalamikia CCM ila akina sisi tunamshukuru Mungu kuileta CCM chama chenye kutoa fursa kwa vijana kama sisi.
Mungu ibariki CCM, Mungu ibariki Tanzania.
Mkuu hivi mpuuzi ni tusi au sifa.Ndo maana mnaugua bawasiri mpuuzi
Katibiwe kwanza bawasiriMkuu hivi mpuuzi ni tusi au sifa.
Bawasiri ndio nini mdau????? Itikadi mpya ya kisiasa au???Katibiwe kwanza bawasiri
Pengine inawezekana kwakuwa mimi ni baada ya kujitambua nahitaji niniAu sikukuelewa ndugu yangu
Rudi kundini mkuu,tule pamoja matunda ya uhuruPengine inawezekana kwakuwa mimi ni baada ya kujitambua nahitaji nini
Unamaanisha nini mkuuUndugulaization.
Unaipenda sababu una ndugu wako huko,wanakubebaUnamaanisha nini mkuu
Naipenda sababu CCM inanipenda pia mkuu.I hope unanielewaUnaipenda sababu una ndugu wako huko,wanakubeba
Not in this lifeRudi kundini mkuu,tule pamoja matunda ya uhuru
Kua mzalendo ndugu,rudi kundiniNot in this life
Ndiyo sababu hamkamatani, mnajua mtaumbuana.Kwahiyo sisi wanachama wa CCM wezi
Haya sawaKua mzalendo ndugu,rudi kundini
Tena bro mshana kitengo cha itikadi ma uenezi kinakufaa mkuu.Haya sawa
Sio sahii kuita wana CCM weziNdiyo sababu hamkamatani, mnajua mtaumbuana.
Keki ya taifa tunakatiwa wananchi woote mkuu.Kama umekatiwa keki ya Taifa lazima ushangilie
Mkuu una roho ngumu kama ya paka!Hii hii mkuu,