Wamesema Watawala milele CCM,Mungu ni mwema
Karibuni kundini mkuu tujenge taifa pamojaWamesema Watawala milele CCM,
Wamejikinai. Tusubiri.
Karibu mkuu tujenge nchiNaona pigo za Mwashambwa, kazi njema
Ubinafsi na umimiMsema kweli mpenzi wa mungu, naipenda CCM sababu imenifanyia mengi na imenipa mengi.
Wakati vijana wengine mnailalamikia CCM ila akina sisi tunamshukuru Mungu kuileta CCM chama chenye kutoa fursa kwa vijana kama sisi.
Mungu ibariki CCM, Mungu ibariki Tanzania.
Msema kweli mpenzi wa munguUbinafsi na umimi
CCM hii hii inayoijua wewe mdau.View attachment 2526655
CCM gani unayoizungumzia hapa ni hii hii au kuna nyingine?
Huyo mungu anayesupport wizi wa kura anapatikana wapi?CCM hii hii inayoijua wewe mdau.
Mimi naishukuru CCM sizungumzii mambo ya kura mdau.Huyo mungu anayesupport wizi wa kura anapatikana wapi?
Huwezi kuitenganisha CCM na wizi wa kura.Mimi naishukuru CCM sizungumzii mambo ya kura mdau.
Upo wrong mkuuHuwezi kuitenganisha CCM na wizi wa kura.
Ni sawa na kusema kuna bahari isiyo na maji.
Myopic ina maana huoni mbali sawa na yule kipofu aliyefunguliwa macho kwa dakika moja akamuona punda,kila kitu akiiulizwa anafanananisha na punda tuu.Msema kweli mpenzi wa mungu, naipenda CCM sababu imenifanyia mengi na imenipa mengi.
Wakati vijana wengine mnailalamikia CCM ila akina sisi tunamshukuru Mungu kuileta CCM chama chenye kutoa fursa kwa vijana kama sisi.
Mungu ibariki CCM, Mungu ibariki Tanzania.
Sina namba mkuu,nipo mbaliUmesahau kuweka namba yako.
Mkuu kwani vibaya kuishukuru CCMMyopic ina maana huoni mbali sawa na yule kipofu aliyefunguliwa macho kwa dakika moja akamuona punda,kila kitu akiiulizwa anafanananisha na punda tuu.
That's day dreams my young broCCM chama bora kabisa ukanda huu,kinatoa fursa kwa wote mkuu.Karibu kundini
Ni haki yakoCCM imenipa vingi japo mimi nimeipa vichache mpaka najihisi sikusitahili mkuu
Dream ipi kaka?????Wewe kurudi kundini au??That's day dreams my young bro
Msema kweli mpenzi wa munguNi haki yako