Naingia ktk maisha ya ndoa

Naingia ktk maisha ya ndoa

Hongera sana mkuu.Nawatakia kila la kheri.

Mwanaume wa kweli hupambana na changamoto anazokutana nazo, hazikimbii.
 
Hongera brother, Hakuna zawadi nzuri kwa watoto wako kama kuwachagulia mama bora,
Katika maisha ya ndoa hata mahesabu yake yanabadilika
Yaani 1+1=1
Pia 2-1=0

Huyo ni mwanamke bora katika ya wale uliokutana nao Lakin sio bora kati ya wale waliopo, (hujanielewa) namaaniaha hivi utakutana na wanawake wazuri Lkn mkeo ni bora kwako wazuri wanazaliwa kila Leo.
Maisha mema katika ulimwenguu huo
 
Na ikawe heri kwako na familia mtakayoianzisha. Mungu mwenye enzi awainulie nuru za uso wake na kuwabariki siku zote za maisha yenu.
Kuna faida nyingi kuishi maisha ya Ndoa kuliko kutokuwa nayo.
Hongera bwana mdogo.
 
Hongera kwa kuamua maamuzi ya busara. Hata binamu zako sasa watapata machaguo sahihi. Ila tu naomba nisisitize endapo shem ataamua kuwa na beki tatu, najua huyu pia hana bugudha kama mabinamu pls tuachieee.
 
mtoa mada kakimbia lols

Mke wake mzuri akaona amuweke JF

Sasa ndoa imeingia shubiri bado mapeema kabla hawajaianza safari

Na Mkeo anaonekana mdogo sijui atafanya maamuzi gani
 
Back
Top Bottom