Naingia ktk maisha ya ndoa

Naingia ktk maisha ya ndoa

nilkkuwa naitafuta picha yake huyu jamaa aliyewala binamu wawili,wacha niipeleke kule ambako nilitumwa kuitafuta,naimani atakiona cha moto huyu na hii ndoa yakd,haweza akala binamu hivi hivi
Inasemekana Binamu siyo haramu.
 
Heri iwe nanyi.....nimeamua kufany maamuz my magumu Kama kijana...Leo 15/9. Nafunga ndoa maeneo ya ukonga Mombasa...karibun ... naambatanisha Na sendoff picha iliyofanyik alhamisView attachment 866571View attachment 866572
Hapo kwenye send off kuna kauhuru flani huwa kanakosekana asee. Hongera sana bro,Mungu atanyoosha njia yenu. Jiepusheni sana na kununiana na kuhisiana vibaya ndani ya ndoa yenu
 
Back
Top Bottom